Mnyika amtetea vikali Dr.Slaa

Mnyika amtetea vikali Dr.Slaa

Koma kama una lowassa siyo fisadi niwewe,kwataarifa yako hata kikwete siyo fisadi unaushahidi au unaropoka tuu ,angekuwa fisadi angejiuzulu kam lowassa
 
Ngazi za mishahara mumbili zimeshushwa agizo toka hazina.madactari na manesi wamechukia sana.wanaomba lowasa apishwe mapema.mtu ulikuwa pmss 10 leo muhimbili inakupa barua kwamba utakuwa pmss 8 yani badala ya kupanda unashuka sijawahi ona duniani.
 
Teh teh samson na delila hapo kweli hajakosea, hata hivyo hatuwezi kuubeza mchango wa dokta
 
Ni kweli mchango wa Dr si wa kitoto lakini ni ukweli pia ni mambo ya Samson na Delila

Kilichomkuta Dr. Slaa, ni kutaka kuwa na uhakika wa chadema kuwepo hata baada ya uchaguzi kitu ambacho Mbowe na wenzake hawakutaka kabisa kufikiria. Mbowe na wenzake walikumbwa na upepo wa Lowassa na kuamua kuungana naye bila kutafakari hatima ya chadema baada ya uchaguzi. Sawa na kujiunga na mdundiko bila kujua utaishia wapi. Kazi inakuwa kurudi nyumbani mdundiko ukiisha.

Tukifananisha ya Dr. Slaa na kisa Samson na Delila, maana yake mwisho wa chadema sio mzuri. Kumbuka baada ya Samson kunyolewa nywele alitobolewa macho. wakaendelea na sherehe wakiwa wamesahau kuwa nywele za Samson zinakua na baada ya nywele kukua Samson alimwomba Delila ampeleke kwenye nguzo kubwa ya katikati alipoifikia aliikumbatia na kitikisa. kilichotokea kila mmoja anajua, si samson, Delila na watesi wa Samson aliyebaki, maana nyumba iliwaangukia wote wakiwa ndani na hakuna aliyepona.

Tunasema kuna maisha hata baada ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, je? na mambo yakawa ndivyo sivyo, ni nani kati ya Mbowe na Dr. Slaa ambaye akisimama jukwaani wananchi watamwelewa
 
Haka ka mnyika ni kadini sana, kaliropoka mwanza eti adui wao mkubwa ni zitto, lakini kana mtetea mkatoloki mwenzake, mwanzo kalikuwa kamesusa
 
Ndo tabu ya watu wengi wa UKAWA mtu akikosoa tuuu???? Kanunuliwa ivi hamtaki kukosolewa hata kama mambo yanaharibika? Nyie watu vipiiiiiiii?
 
Haka ka mnyika ni kadini sana, kaliropoka mwanza eti adui wao mkubwa ni zitto, lakini kana mtetea mkatoloki mwenzake, mwanzo kalikuwa kamesusa

Udini? Jaribu kuoanisha viungo vyako unapofikiria na kabla hujasema au kuandika. Your central thinking system is not working properly. (FAULT) Hili jambo la udini tunalipinga kwa nguvu zote kwasababu ni mojawapo ya mambo hatarishi kwa amani yakipenyezwa kwenye jamii. Yeyote anayeongelea udini na alaaniwe yeye na vizazi vyake vyote.
 
Haka ka mnyika ni kadini sana, kaliropoka mwanza eti adui wao mkubwa ni zitto, lakini kana mtetea mkatoloki mwenzake, mwanzo kalikuwa kamesusa

Hili ndio tatizo kubwa la CHADEMA LOWASSA ni ukosefu wa adabu .....,,kwa mtu yetote anamjua Mnyika akisoma huo uharo wako atakushangaa Mnyika si mdini na hajawahi kuwa mdini hata siku moja
 
Wanaosema lowasa ni fisadi labda ni walio ingia tz jn ila ukiulizwa fisadi nyangumi ni kikwete na riziwani walioingia ikulu kwa baiskeli.lkn wametoka na viwanda lukuki bgmy,ndege,sheli za mafuta,hoteli na rasilimali zt za tz wamewauzia wachina na usa.....dr slaa angekuwa mtu wa maana asingenunuliwa km peremende hvy..
FISIEM HOVYO..UKAWA DAIMA

Ni kweli lakini hata JK kesho akihamia chadema,atakuwa msafi.
 
Vipande vya fedha vimegeuza upatikanaji wa haki
 
Back
Top Bottom