ukosefu wa akili na ujinga wa wanaccm, eti leo wanamuona dr mihogo ndo mwenye busara kwakuwa kawafanyia kazi waliyomtuma lakin alipokuwa bado chadema walikuwa wakimtukuna kuwa babu asiye na akili: sasa leo wanampigia upatu eti anafaa lakini kwa wanamabadiliko dr mihogo ni mpuuuzi na filauni mkubwa mnafiki aliyekisri; kapokea za rweymam wa ikul ili aje anye mavi kwenye njia ya mabadiliko eti watu wasiweze kupita: tushasema LOWASSA NDO Rais wetu na tutampa kura nyingi sanaaa tu mpaka kufikisha 62% mtake msitake tutampigia kura za ok, na hatuhitaji aongee sana kama wezi waongeavyo kwa mda wa zaidi ya miaka 50 ya uhuni wa ccm. pombe akapalilie shamba lake huko chato; wanaccm jiandaeni kuchagua mwenyekit wenu mpya tuu au mkitaka muachen baba riz aendelee kuwaongoza mara baada kukabidhi ikulu kwa EL.