Isaya Nehemia
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 555
- 452
Dr slaa hana kosa mbowe ndiyo wa hovyo kauza chama kwa mafisadi papa.
Si nawe utoe dau kubwa zaidi ukikomboe chama? Toa cha juu uichukue km kinauzwa
Dr slaa hana kosa mbowe ndiyo wa hovyo kauza chama kwa mafisadi papa.
Dr slaa hana kosa mbowe ndiyo wa hovyo kauza chama kwa mafisadi papa.
Mnyika amemtetea vikali Dr.Slaa na kupingana na wale wanaomkejeli na kumuona hana mchango CHADEMA. Mnyika anasema Dr.Slaa anao mchango wake na yaliyomkuta mambo kama yaliyowahi kumkuta Samsoni kwa Delila.
Naomba kuisha hapa.
Dr slaa hana kosa mbowe ndiyo wa hovyo kauza chama kwa mafisadi papa.
Mbowe kafanya nini tena!? Mshumbusi ndiye tatizo mkuuDr slaa hana kosa mbowe ndiyo wa hovyo kauza chama kwa mafisadi papa.
Kwa hiyo mchumba wake josefin ni Dellila?
Naomba ushaidi wa hayo maneno ya Usamson na Udelila .Mnyika amemtetea vikali Dr.Slaa na kupingana na wale wanaomkejeli na kumuona hana mchango CHADEMA. Mnyika anasema Dr.Slaa anao mchango wake na yaliyomkuta mambo kama yaliyowahi kumkuta Samsoni kwa Delila.
Naomba kuisha hapa.
mwaga facts basi siyo kupanua mdomo na huna facts
asante kamanda mnyika kwa kuwa mkweli
asante sana jk kwa kujibu swali la tundu lisu hadharani kuhusu mr richmond..ni nani dr slaa ni icon.... ''kusema uongo ni dhambi''
sina iman na ccm
na yeye dr kutukana watu kwamba ni kama choo ni upeo mdogo vilevileKumtusi Dr Slaa ni upeo Mdogo wa kisiasa.
Lini ukaipenda chadema weye, iache Chadema ife si ni yamafisadi wewe shida yako nini? Lowassa kawachanganya sana
Kumtusi Dr Slaa ni upeo Mdogo wa kisiasa.
Wanaosema lowasa ni fisadi labda ni walio ingia tz jn ila ukiulizwa fisadi nyangumi ni kikwete na riziwani walioingia ikulu kwa baiskeli.lkn wametoka na viwanda lukuki bgmy,ndege,sheli za mafuta,hoteli na rasilimali zt za tz wamewauzia wachina na usa.....dr slaa angekuwa mtu wa maana asingenunuliwa km peremende hvy..
FISIEM HOVYO..UKAWA DAIMA
Dr slaa hana kosa mbowe ndiyo wa hovyo kauza chama kwa mafisadi papa.
Wanaosema lowasa ni fisadi labda ni walio ingia tz jn ila ukiulizwa fisadi nyangumi ni kikwete na riziwani walioingia ikulu kwa baiskeli.lkn wametoka na viwanda lukuki bgmy,ndege,sheli za mafuta,hoteli na rasilimali zt za tz wamewauzia wachina na usa.....dr slaa angekuwa mtu wa maana asingenunuliwa km peremende hvy..
FISIEM HOVYO..UKAWA DAIMA
Mkuu mafisiem wamechanganyikiwa vibaya sana