Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia
Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia
Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA
Ujumbe umeupata na umeelewa hayo mengine madoido tu
Pambaf afya yake wewe ni daktari dhaifu mkubwa wewe unataka avimbiane Kama wabunge wa ccm ndio useme Ana afya nzuri mdini mkubwa wewe
Mnyika nilikushauri tulizana usipende kuropoka hovyo angalia sasa umeingia kichwa kichwa kwenye anga za Mwigulu Nchemba.
Umemtaja kuwa ni mmoja wa watuhumiwa wa EPA, wakati wizi huo umetokea mwaka 2005, wakati Nchemba ameingia BOT mwaka 2006 wakati wizi huo ukitokea alikuwa chuoni.
Haya lete huo uthibitisho wa madai yako.
hatuko hapa kukisia kisia vitu. tuko kwenye uhalisia. ikiwa kila mtu ataweka neno "vipi" itakuwaje humu? Nami naweza kusema Vipi kama Mnyika akikosa ushahidi...........Vipi ikiwa aliajiriwa hiyo 2006 kwenda kuvuruga ushahidi? Huko sio kuhusika na wizi?
kweli dogo kapoteza mwelekeo. Tangu wakati wa kesi ya ubunge alipokuwa akiulizwa swali anajibu tofauti akili yake haijakaa sawa. Hebu msaidieni mliokaribu naye. Anaropoka sana na ubishi mwingi km mtoto
Saizi Myinka kila akiunganisha ushahidi wake wa kuupeleke bungeni kama uthibitisho unakataa kichwa kinauma...
Saizi Myinka kila akiunganisha ushahidi wake wa kuupeleke bungeni kama uthibitisho unakataa kichwa kinauma...
Acha kuchemka wewe,, asseme nini sasa wakati yalishasemwa na wakuu walio juu yake na hata magazetini na vyombo vingine vya habari yalikuwepo. Sasa wewe unataka Nchemba aseme kama nani? acha uvivu wa kufikiri wewe!!
hatuko hapa kukisia kisia vitu. tuko kwenye uhalisia. ikiwa kila mtu ataweka neno "vipi" itakuwaje humu? Nami naweza kusema Vipi kama Mnyika akikosa ushahidi...........
Akuletee wewe nani by the way. Subirini siku 7 ziishe. Mbona Magamba mna wasiwasi kama mnaoga nje?Mnyika nilikushauri tulizana usipende kuropoka hovyo angalia sasa umeingia kichwa kichwa kwenye anga za Mwigulu Nchemba.
Umemtaja kuwa ni mmoja wa watuhumiwa wa EPA, wakati wizi huo umetokea mwaka 2005, wakati Nchemba ameingia BOT mwaka 2006 wakati wizi huo ukitokea alikuwa chuoni.
Haya lete huo uthibitisho wa madai yako.
Kwanini mnayatumia maneno msiojua maana na matumizi yake?