Mnyama wa taifa la Bongo

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha JamiiForums inanipa raha sana kwa comments kama hizi
 

We jamaa, acha kufananisha hii kitu na vitu vya kipumbavu asee. Eti ng'ombe, ooh kuku ndo vitu gani sasa.
 
Wazungu wamefikia hatua ya kutumia moyo wa Mbuzi Katoliki kupandikiza binadamu wenye matatizo ya moyo wewe unakuja na story Tandamti hapa.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha JamiiForums inanipa raha sana kwa comments kama hizi
Hivi naanzaje kuacha kula kitimoto? Natamani nikifika mbinguni nikute kuna venues za kula hiyo kitu adhimu
 
Acha ww kula mimi niache nile...!!
utamponda sana lkn jikoni ataendelea kupeta
 
Hahahah, uwa kuna wanoko nin.....?
 
Nasikia Mtume baada ya kuonja kuona kitam akakataza waumini wake wasile ili afaudi peke yake!
Hili dude nitamu walah!!!!
 

MziziMkavu;
Katika siku umeniharibia ni hii ya leo. Umenionesha kitu iloifanya roho kutaka kutoka. Hii kitu ni moto mno haitakiwi kuoneshwa hovyo. Mate yamenipalia, nkakimbilia markiti nikakuta weshamaliza kabisa. Kuuliza nkasikia waliona picha Whatsup, sijui jf sijui wapi.Mkuu, hii kitu usiombe ukute imetengenezwa kitaalam; Hapa mbavu nzima, kando Ndizi roast, hapa salad nakuambia hutaacha tena. Acheni watu wale ile kitu ya lohoooo.
Wanasema ati mbuzi nyama yake ina gaut mbona mmasai aiugue!! Ntakula mpaka Yesu arudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…