kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Atageuka kuwa paka shume
Daaaaaaa
View attachment 218280
Kupambana na mtibwa leo
Vipi tena!
Nilikuja nduki kuona mnyama hatari nimeishia njiani
duuuh nimeshindwa kuendelea na ishu zangu ili nione huyo mnyama hatari, kumbe...!!!
duh,.. speed yote kumbe sanamu loh pouwa bwana
Kilaza shule bado hazijafunguliwa!
Haiwezekani! Umeona huyo mtani hapo siku ya mtani jembe alivyofanywa mpaka akalia na kuzimia ovyo!
Cha kwanza nilimuwaza mwanangu, kanusurika kweli, nikawaza mnyama huyo katokea baharini au nchi kavu? Ndudu au chwaka? !!! Kumbe kinyago cha mtani jembe anacheza na somo yake!!, mkuu mtatuua kwa presha