miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Dada mi nilitarajia ushauri mzuri,lakin mbona tunakua hivi? Plz mi niko serious,help me
umesema pesa si tatizo!!! me ndo zawadi nayoona ya maana kwa sababu itajizungusha na kuzalisha mara mia moja...... okey basi kwa kuwa we unataka zawadi za kawaida basi mnunulie nguo, simu au pochi.....