Mnipe mishe za kuingiza kipato Morogoro


Sio wote tuko hvo bro!! kila cku mnatuponda watu wa Dar.......by the way, naomba npe mishe ya kuingiza hela mkuu!!!
 
sa


Hongera sana!
 
Madam i like you,za cku??
 
Kumbe we ushamsoma

M nshamsoma kitambo sana but anaishiaga kusema m namnanga

Sivan sikiliza ushauri wa dada mkubwa hapa

Sehemu moja wapo ambayo nilitembelea nikaona kuna fursa za nje nje ni mji wa masasi
Kuna fursa gani masasi..

#MaendeleoHayanaChama
 
Anafanya biashara gani huyo dogo mpaka imemlipa?
 
Mkuu sorry masasi kuna fursa zipi na sisi tukapambanie?
Kumbe we ushamsoma

M nshamsoma kitambo sana but anaishiaga kusema m namnanga

Sivan sikiliza ushauri wa dada mkubwa hapa

Sehemu moja wapo ambayo nilitembelea nikaona kuna fursa za nje nje ni mji wa masasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…