GE2025 MNEC, Muhsin Ussi: Zanzibar huduma za afya ni bure, hakuna malipo

GE2025 MNEC, Muhsin Ussi: Zanzibar huduma za afya ni bure, hakuna malipo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Muhsin Ussi (MNEC) — Kiongozi wa Kitaifa wa Vijana kutoka Zanzibar (CCM).

"Wakati Rais Dkt Hussein Mwinyi anaingia madarakani Zanzibar tulikuwa na hospital kubwa Moja tu inaitwa Mnazi Mmoja na kwa Pemba tulikuwa na hospital inaitwa Abdallah Mzee.

"Unaweza kwenda hospital Saa 11 Alfajiri hospital ukaondoka Saa Nane au Tisa au Saa Kumi jioni kutokana na wingi wa watu wanaokwenda kupata huduma.

"Kwa kipindi cha miaka mitano kila wilaya ya Zanzibar kuna hospital ya kisasa na ghorofa yenye vifaa tiba vya kisasa. Na madaktari bingwa. Huduma za afya Zanzibar ni bure, hakuna malipo"

ff.jpg
 
 
Dah tanganyika tumekwisha huku cha bure ni condom zenye vimelea vya magonjwa
 
Halafu kuna yule mjinga mmoja pascal alikuwa anasema zanzibar ni mkoa tu,ona sasa watanganyika wote wapo hoi saiv kwa mzanzibar mmoja tu.
 
Mmmmhh saivi Zanzibar kuna project ya kusajili wananchi wote watumie bima sasa matibabu bure apo?

"Matunda ya mapinduzi yanaelekea kuisha" hii kauli from mtumishi wa bima ya Afya Zanzibar katika zoezi la kuandikisha raia katika bima
 
 
Back
Top Bottom