MNEC Haji Jumaa ambomoa Dkt. Bashiru Ally

Izia

JF-Expert Member
Jun 9, 2021
303
477
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog
 
Alianza Speaker wa Bunge Bwana Ndugai, akaja Dr Hamis Kigwangala, akaja Dr Diallo leo ni Haji Jumaa still the list goes on wote hao ni Wajumbe wa NEC, CC na Serikali kwa Jumla

Nasubiri siku asimame Ally Kessy pamoja na Deo Sanga Wazee wa atawale milele nione watakuwa na mtazamo gani kuhusu awamu ya tano.
 
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog
Huu mnyukano wa mabeberu weusi wacha nivute bakuli la popcorn nicheki muvi.
 
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog
Kipindi cha dikteta hali ilikuwa mbaya sn
 
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog
Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusu
 
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.

Chanzo: Darmpya Blog

Watasema yote na bado
 
Back
Top Bottom