Ficha vyote kwa mwanaume ila sio idadi ya wanaume uliotembea nao au watoto uliotoa au kujifungua.
Kwa maana akiendelea kuishi na wewe atahesabu kama ulimwambia ni mwanaume m'moja tu then atauliza jina amjue ili aone kama bado mna mawasiliano. Sasa ole wako akute una mawasiliano ya mashaka na wengine hapo ndipo kimya kimya anakubadilikia.
Akigundua kuwa kuna wanaume haukumwambia tegemea kuachwa. So bora umwambie ukweli ili yeye achague kuishi na wewe au asepe mapema sana kuwapa nafasi wengine.
Yote kwa yote. X m'moja tutasema ulikuwa haujui kitu ni usichana. X wa pili tutasema ulikuwa unajifunza baada ya kufanya makosa mara ya kwanza. X wa tatu, bila ubishi wewe unafanya umalaya. Wanaume watatu shimo moja?
Unajua hata thamani ya mwili wako wewe.