Mnashangaa Bajaji kuwa Ambulance? hii jee?

Mnashangaa Bajaji kuwa Ambulance? hii jee?

zomba

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2007
Posts
17,240
Reaction score
3,935
Nawasikitikia Watanzania wanapoletewa suluhisho la ubunifu, rahisi na la haraka wanapoliponda. Tazamaeni wenzenu, hivyo hivyo vibajaji wanavifanya nyumba za kuishi:

17-Pictures-To-Blow-Your-Mind-13.jpg


Semeni.
 
Usije ukalinganisha mazingira tunayoishi na mazingira hayo hapo. Huku kwetu barabara tena za vijijini, hiyo bajaj sijui inambebea wapi huyo mama mwenye uchungu. Sijaongelea vumbi atakalooga!
Kuishi kwenye bajaj hiyo inabidi ukubaliane na mbu na vibaka! Manake hata bustani za manispaa hamna ulinzi! Hilo joto la dsm sasa, inabidi ufunge ka-pangaboi sijui?
 
Nacheka hapa, manake waswahili tunavyojua kuwa na makorokoro kama gereji bubu, lol! Sijui tunaeneaje! Mtu mmoja, nguo nyiingi zingine hata hazimtoshi ila anazidakisha vumbi tu!
 
Usije ukalinganisha mazingira tunayoishi na mazingira hayo hapo. Huku kwetu barabara tena za vijijini, hiyo bajaj sijui inambebea wapi huyo mama mwenye uchungu. Sijaongelea vumbi atakalooga!
Kuishi kwenye bajaj hiyo inabidi ukubaliane na mbu na vibaka! Manake hata bustani za manispaa hamna ulinzi! Hilo joto la dsm sasa, inabidi ufunge ka-pangaboi sijui?

Itaposhindwa bajaji ujuwe hata gari kuna kazi.

Something is better than nothing.

ambulance-bike.jpg
 
Upuuzi mtupu. Haya mleta mada, niambie mgonjwa mahututi na dereva wanaeneaje humo?
 
i can see you trying to justify jk's bajaj stupidity from afar but the fella above has put you in your place

We are not the first nor the only:

[h=3]Emergency tricycle[/h]
I saw these in an event on SM north Edsa Cyberzone and I was Amazed!!! I am interested in having my own Emergency Vehicle sometime...
BPC7017.jpg












BPC7016.jpg






...this kind of emergency tricycle best fits in a small/narrow roads especially here in the Philippines.
 
We need the better
We deserve better
We want the better
We should get better
We will not settle for less!
Kuna tangazo la twaweza nadhani. Wanakijiji wanasema 'naskia hilo gari ni kama madarasa 10, yaani mtu mmoja anatembea na madarasa kumi jamani!'
Kama something is better than nothing, mbona rais asitembelee bajaj basi? Lugha za kutupaka mafuta na mgongo wa chupa hazitufai tena wangu! Hizi zinawafaa huko huko nchi maskini, sie kwetu matajiri baba!
Itaposhindwa bajaji ujuwe hata gari kuna kazi.

Something is better than nothing.

ambulance-bike.jpg
 
We need the better
We want the better
We should get better
Kuna tangazo la twaweza nadhani. Wanakijiji wanasema 'naskia hilo gari ni kama madarasa 10, yaani mtu mmoja anatembea na madarasa kumi jamani!'
Kama something is better than nothing, mbona rais asitembelee bajaj basi? Lugha za kutupaka mafuta na mgongo wa chupa hazitufai tena wangu!

Huo ni ubishi wa kitoto. Practicality, kuwa mkweli wa nafasi yako kwanza, kabla ya Kikwete kuja na vibajaji kulikuwa kuna kipi?
 
Huko kuna barabara zinazofaa hizo bajaj. Utambebaje mgonjwa vijijini na bajaj (na kumbuka zoba mwenzio alituambia anazileta zitumike hasa vijijini)?
 
Huko kuna barabara zinazofaa hizo bajaj. Utambebaje mgonjwa vijijini na bajaj (na kumbuka zoba mwenzio alituambia anazileta zitumike hasa vijijini)?

Hta kwa biashara zingine zinafaa:

bajajinaabiria7.jpg
 
Nawasikitikia Watanzania wanapoletewa suluhisho la ubunifu, rahisi na la haraka wanapoliponda. Tazamaeni wenzenu, hivyo hivyo vibajaji wanavifanya nyumba za kuishi:

17-Pictures-To-Blow-Your-Mind-13.jpg


Semeni.

Hivi zomba una miaka mingapi labda kwa mfano???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ofcoz mie mtoto, umri wako mrefu sana. Mbona hamtupi picha za feedback walau mmefikia wapi na matumizi bora? Kuna moja niliikuta kijijini, wameipaki imeotea nyasi. Nikauliza na kuipiga picha, wanasema wameishindwa! Lakini kama kawaida yetu, tunajenga madaraja yasipotumika haijalishi as long as tumejenga! Hata shule tumejenga zisizo na walimu lakini si mile stone bwana?
Mpe hongera handsome wetu.
Huo ni ubishi wa kitoto. Practicality, kuwa mkweli wa nafasi yako kwanza, kabla ya Kikwete kuja na vibajaji kulikuwa kuna kipi?
 
Hivi zomba una miaka mingapi labda kwa mfano???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

He seems to be at list 40 years old (physically) with a mental age of a minor. And that is a complement, if I am to be honest!
 
We are not the first nor the only:

Emergency tricycle


I saw these in an event on SM north Edsa Cyberzone and I was Amazed!!! I am interested in having my own Emergency Vehicle sometime...
BPC7017.jpg












BPC7016.jpg






...this kind of emergency tricycle best fits in a small/narrow roads especially here in the Philippines.
on tarmac roads and not dusty potholed roads of ours in rural areas
 
Huo ni ubishi wa kitoto. Practicality, kuwa mkweli wa nafasi yako kwanza, kabla ya Kikwete kuja na vibajaji kulikuwa kuna kipi?

Kulikuwa na fedha (Mkapa aliacha akiba ya kutosheleza mahitaji ya taifa kwa miezi tisa) ambazo zingeweza kununua ambulance zinazofaa mazingira ya nchi yetu. Lakini akaamua kuzitumbua yeye na genge lake.
 
Mganga atakaekuwa anamhudumia mgonjwa atakaa wali? au atamkalia mgonjwa?
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya picha na kinachotokea.
Mimi kamamdau wa Afya na Elimu......nimepita kwenye hospitali za wilaya kama 10 ndani ya mwezi uliopita.
Hizi takataka zipo zimehifadhiwa kama zilivyopokelewa. ... Mpyaaa!!

Kuna wale walioamua kufungua huo uchafu hapo pembeni na kujipatia usafiri wa pikipiki.

Issues ni mbili:
1) nani aziendeshe? muuguzi au dereva?
2) Zitapita wapi? hiyo takataka inaweza kumtoa mtu Kifura kwenda Kibondo hospital?, Inaweza kumtoa mama mjamzito Muyama kwenda Kasulu DH? atafika? akifika itakuwa baada ya masaa mangapi kama sio 10 Hrs.

Unaandikia mate na wino upo:

09_11_h2jymn.jpg
 
Back
Top Bottom