Mnapopigana "vibuti"...

aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umenikumbusha kitu kuna rafiki yangu alisomeshwa na mpenzi wake baadae wakagombana na kuachana jamaa akamwambia naomba unirejeshee gharama zote nilizokuwa nakupatia ikiwa pamoja na cm aliyomnunulia,duh myfrnd akamwambia hayo yalikuwa ni mapenzi siwezi kukurudishia.
kwenye mada........huo ni ushamba wa hali ya juu sana kama amekudhurumu Mungu atamuhukumu kwa haki yake.
 
Kama kulikuwa na mapenzi ya kweli kati yenu na sio usanii basi sioni sababu ya kunyang'anyana zawadi.


 
Last edited by a moderator:
Mrudishiane ili iweje?

Ila inategemea mwenzangu maana wadada wengine anajifanya kumpenda mbaba wa watu ananunuliwa gari au anajengewa nyumba akishapata alichopata anamkimbia baba wa watu na kwenda kwa kiboifurendi chake akipendacho. Huyo mwenzangu anastahili kunyang'anywa kwa nini umchune hivyo mtoto wa mwenzio na kumbe ulikua humtaki? Au unamnunulia gari mpenzi wako wa kiume kama unazo matokeo yake anaanza kufanyia umalaya we hakuthamini tena kwa nini nisikunyang'anye?

So inategemea na pia inategema mmeachana vipi
Dada /Mama.. u make sense. Unajua chimbuko la matatizo yote uyaonayo duniani hapa ni "UBINAFSI". watu hapa jamvini wanatoa ushauri wakiwa na ubinafsi huo huo. Linapokuja jambo kama hili akina dada wanatoa maoni yanayowafurahisha mioyo yao,hali kadhalika akina kaka/baba. Ningependa kusikia mwanadada aliyemnunulia gari boyfrnd wake,then huyo kijana alete nyodo na kujiona matawi,na kwa gari hilo hilo alitumie atongozee wanawake wengine ,then utajisikiaje,? Atamwachanalo??. kwa hivi ushaurimwingine utolewao hapa ndani ni wa kujifurahisha na ushabiki zaidi. Vitu ambavyo huwezi kudai ni hivi vya kawaida. Au tuseme kwa ujumla INATEGEMEA NA HALI HALISI YA KUACHANA NA ZAWADI/VITU MLIVYOPEANA.Period.
 
true! mi nilishushwa kwenye kivits mchana kweupeee posta!!
ningekuwa mimi sishuki yani pangechimbika na ningefunga mataa mwanaume akikuletea za kuleta usicheze mbali onyesha gender equality hapo mm angekimbia mwenyewe bila kukimbizwa
 
ningekuwa mimi sishuki yani pangechimbika na ningefunga mataa mwanaume akikuletea za kuleta usicheze mbali onyesha gender equality hapo mm angekimbia mwenyewe bila kukimbizwa

Weeeeeee ungeona dunia chungu na ungetamani ardhi ipasuke. Katafute kwingine au kanunue yako, tena ningewaambia polisi hiyo gari niliibiwa jana usiku!!
 
Duh mi ni lidaiwa mpaka elfu kumi niliyowahi kupewa, kisa nakipiga kalenda kijitu kila siku, sitoi jibu nadanganya tu. Ha haaaa. Kuna watu wanaroho za kimaskini sana, na watu wa hivyo waangalie wote hua wanafanana, hua hawana maendeleo hata angesomaje hata elimu yake haiwezi msaidia.
 
katika uchumba/mahusiano ya kimapenzi inatokea kufarakana hata kuachana...je vile vitu mlivyokua mkipeana enzi hizo (zawadi,..picha) yapasa mrudishiane?..

kila mmoja abaki na souvenir yake..................................
 
Back
Top Bottom