katelero
JF-Expert Member
- May 31, 2010
- 529
- 83
Kate, wewe inaelekea ushawahi pitia drama kibao kwenye mahusiano yako...
Kwa sana tu NN,siku hizi mtu akianza tu kubadilika najua anakoelekea,taratibu najiweka pembeni huku nikimtizama,
i
Kate, wewe inaelekea ushawahi pitia drama kibao kwenye mahusiano yako...
Kwa sana tu NN,siku hizi mtu akianza tu kubadilika najua anakoelekea,taratibu najiweka pembeni huku nikimtizama,
i
Hahahaaa duuuuh wewe kiboko. Mzima lakini? Siku hizi umekuwa adimu kama almasi!
ah haaaa haaa haaaa.............khaaa jamaa hata hakusubiri muwe pahala pa kujificha kidogotrue! mi nilishushwa kwenye kivits mchana kweupeee posta!!
Dada /Mama.. u make sense. Unajua chimbuko la matatizo yote uyaonayo duniani hapa ni "UBINAFSI". watu hapa jamvini wanatoa ushauri wakiwa na ubinafsi huo huo. Linapokuja jambo kama hili akina dada wanatoa maoni yanayowafurahisha mioyo yao,hali kadhalika akina kaka/baba. Ningependa kusikia mwanadada aliyemnunulia gari boyfrnd wake,then huyo kijana alete nyodo na kujiona matawi,na kwa gari hilo hilo alitumie atongozee wanawake wengine ,then utajisikiaje,? Atamwachanalo??. kwa hivi ushaurimwingine utolewao hapa ndani ni wa kujifurahisha na ushabiki zaidi. Vitu ambavyo huwezi kudai ni hivi vya kawaida. Au tuseme kwa ujumla INATEGEMEA NA HALI HALISI YA KUACHANA NA ZAWADI/VITU MLIVYOPEANA.Period.Mrudishiane ili iweje?
Ila inategemea mwenzangu maana wadada wengine anajifanya kumpenda mbaba wa watu ananunuliwa gari au anajengewa nyumba akishapata alichopata anamkimbia baba wa watu na kwenda kwa kiboifurendi chake akipendacho. Huyo mwenzangu anastahili kunyang'anywa kwa nini umchune hivyo mtoto wa mwenzio na kumbe ulikua humtaki? Au unamnunulia gari mpenzi wako wa kiume kama unazo matokeo yake anaanza kufanyia umalaya we hakuthamini tena kwa nini nisikunyang'anye?
So inategemea na pia inategema mmeachana vipi
Whats fairness? usijibu kifupi hivyo kaka,. inategemea na mazingira yenyewe.Hapana its not fair
thethetheth!!ka nakuona vile.....
true! mi nilishushwa kwenye kivits mchana kweupeee posta!!
Chupi, pesa, khanga, nk. zinaweza kurudishwa, lakini nguvu za kiume hazirudishwi ng'o!
ningekuwa mimi sishuki yani pangechimbika na ningefunga mataa mwanaume akikuletea za kuleta usicheze mbali onyesha gender equality hapo mm angekimbia mwenyewe bila kukimbizwatrue! mi nilishushwa kwenye kivits mchana kweupeee posta!!
Ni ushamba wa hali ya juu kama sio ulimbukeni kudaiana vitu mlivyopeana wakati mkiwa kwenye mahusiano ya kimapenzi! Tena ni umasikini wa roho!
true! mi nilishushwa kwenye kivits mchana kweupeee posta!!
ningekuwa mimi sishuki yani pangechimbika na ningefunga mataa mwanaume akikuletea za kuleta usicheze mbali onyesha gender equality hapo mm angekimbia mwenyewe bila kukimbizwa
katika uchumba/mahusiano ya kimapenzi inatokea kufarakana hata kuachana...je vile vitu mlivyokua mkipeana enzi hizo (zawadi,..picha) yapasa mrudishiane?..