Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Nipo kwenye mgogoro mkubwa kisa simu wakuu. Mtoto wa Mwaka wa Kwanza analilia simu na kula nimeshamla. Ishu ni simu, simu, simu, sihemi yaani nikiona anapiga moyo unaenda mbio au nikiona text yake. Amekua kero
Ujue mimi sipendi usumbufu ujue ila mtoto amekatika sana kiunoni
Ila kiukweli mapenzi yamepungua kisa hiyo simu, simu yenyewe sijui infinix nini sijui huko hata siijui, naombwa 400k hapa sijui naitolea wapi
Ujue mimi sipendi usumbufu ujue ila mtoto amekatika sana kiunoni
Ila kiukweli mapenzi yamepungua kisa hiyo simu, simu yenyewe sijui infinix nini sijui huko hata siijui, naombwa 400k hapa sijui naitolea wapi