MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,251
- 14,228
Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?