Mnaowekwa Profile Picture mnatumika

Mnaowekwa Profile Picture mnatumika

tena la nne ndio pumba academy, kwa sababu kama ameweka kwenye lets say whatsapp yake, ina maana wanaoona ni contacts wake, sasa inanizuiaje kupata wanawake wengine? While mimi sijamuweka?

Lets say ni Facebook na Instagram
 
Kwa upande wangu nina silaha mbili za kumfurahisha mpnz wangu moja ni kumuweka profile picture pili ni kumpa dudu la ukwel!!

Maana sina pesa ya kumhonga loh!!
 
hivi profile picture si unajiwekea mwenyewe na picha yako personal??? Sasa kuweka picha ya mpenzi wako inamaanisha nini?? kumuuzisha sura, ulimbukeni, au ushamba?? Unakuta boy ameweka picha ya demu wake kwenye PROFILE sasa akianza kupigwa vocal anavimba na kumind,, unamind nini sasa na wewe umeweka picha ya mtoto mkali... ndo maana wengi wetu mnaishia ''kuchapiwa'' na kubaki kusema masikini roho yangu mimi...... :typing:
 
Mlio wengi hasa wanaume mnaowekwa profile picture za wanawake kwenye mitandao ya jamii, na maneno fulani hivi ya kusindikizia kwenye status, msidhani mnapendwa sana ila mnatumika kwa mambo yafuatayo:

1. Kupunguza usumbufu wa inbox kwa huyo mwanamke.
2. Kutuliza maumivu ya mwanamke kuachwa.
3. Kuwaonesha wanawake wengine naye ana bwana.
4. Kukufunga usipate mwanamke mwingine, ili akukamue bara bara.

Usivimbe kichwa kwamba ukiwekwa Profile Picture unapendwa sana, ni maslahi binafsi hayo amka.

Ni mawazo yangu tu washkaji msijenge chuki.

Mkuu nimeipenda maana cku iz ndo ishakua fashion kuwekua dp mitandaoni... Kuna wengine mfano rafiki au ndugu kama mlikua mmepotezeana mda bac akikue dp utaona kukutumia msg ilione kama kakueka dp mm kiukweli wananikera kama nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom