Mnaowekwa Profile Picture mnatumika

Mnaowekwa Profile Picture mnatumika

Mlio wengi hasa wanaume mnaowekwa profile picture za wanawake kwenye mitandao ya jamii, na maneno fulani hivi ya kusindikizia kwenye status, msidhani mnapendwa sana ila mnatumika kwa mambo yafuatayo:

1. Kupunguza usumbufu wa inbox kwa huyo mwanamke.
2. Kutuliza maumivu ya mwanamke kuachwa.
3. Kuwaonesha wanawake wengine naye ana bwana.
4. Kukufunga usipate mwanamke mwingine, ili akukamue bara bara.

Usivimbe kichwa kwamba ukiwekwa Profile Picture unapendwa sana, ni maslahi binafsi hayo amka.

Ni mawazo yangu tu washkaji msijenge chuki.

Nashukuru kutambua upeo wako ulipo ishia...
Atayejenga CHUKI na ww atakua na upeo mdogo zaid maana ata mnyonge anamnyonge wake pia...

​Hahahaaa... hizi ndo kasoro zenye kasoroo
 

Nashukuru kutambua upeo wako ulipo ishia...
Atayejenga CHUKI na ww atakua na upeo mdogo zaid maana ata mnyonge anamnyonge wake pia...

​Hahahaaa... hizi ndo kasoro zenye kasoroo

Character wise wewe ni mmojawapo
 
Dah! Mimi haya mambo ya Whatsapp nilisha acha kutumia, tangu walivyoanza eti mara ukitumiwa ujumbe ukausoma mtumaji anajua so usipomjibu anaanza lawama kibaao, mara oooh nimekutumia msg umeisoma kabisa lakini hutani kunijibu"
Nikajiuliza simu ni mali yangu, iweje mtu aanze lawama na maneno mpaka kufikia kugombana? Nilichoamua ni kulifutilia mbali hilo li wasap, na tena ninatamani hata hizi txt za kawaida nizizuie zisiweze kuingia, ili mtu akiwa na shida na mimi awe anapiga tu, nimeshajaribu kubadilishe Center namba ila bado zinaingia, kwanza naombeni msaada kwa mtu mwenye ufahamu

Umenikumbusha mbali mkuu, mwanzo nilivyoanza kutumia wasap jaman jaman, i used to complain the same way. lakini with time nimejikuta nina amani tu. ninachokushauri "LIVE YOUR LIFE' don't mind people replying or not.

nimefanya hivyo and am living a happly life.

Thank you for making my day:A S wink::A S wink::A S wink:
 
Mlio wengi hasa wanaume mnaowekwa profile picture za wanawake kwenye mitandao ya jamii, na maneno fulani hivi ya kusindikizia kwenye status, msidhani mnapendwa sana ila mnatumika kwa mambo yafuatayo:

1. Kupunguza usumbufu wa inbox kwa huyo mwanamke.
2. Kutuliza maumivu ya mwanamke kuachwa.
3. Kuwaonesha wanawake wengine naye ana bwana.
4. Kukufunga usipate mwanamke mwingine, ili akukamue bara bara.

Usivimbe kichwa kwamba ukiwekwa Profile Picture unapendwa sana, ni maslahi binafsi hayo amka.

Ni mawazo yangu tu washkaji msijenge chuki.


mmmmmmh! kama kuna ukweli fulani hivi lakini.
 
Ukiwekwa au usipowekwa kama "profile picture" haibadilishi chochote. Siku hizi watu wanatongoza chochote. Wengine wamefika mbali wanatongoza hadi "ATM Machines". Na kuhusu kukamuliwa, kwa nini usizitoe mwenyewe mpaka uombwe ombwe au utengenezewe mazingira ya kukamuliwa.
 
Ukiwekwa au usipowekwa kama "profile picture" haibadilishi chochote. Siku hizi watu wanatongoza chochote. Wengine wamefika mbali wanatongoza hadi "ATM Machines". Na kuhusu kukamuliwa, kwa nini usizitoe mwenyewe mpaka uombwe ombwe au utengenezewe mazingira ya kukamuliwa.

Mambo si ndio hayo sasa, ni wanaume tu ndio wanalijua hilo.
 
Mi nshawahi kuweka picha ya demu flan ivi ili kumtia moto dem anaenzingua...
 
Ahaa ni stahili mpya ya wadada kukuibieni na kuwafilisi .ukiona demu kakuweka profile muogope kama ukoma jua ana line nyingine na simu nyingine ambayo ni secured kwa ajili ya watu wake muhimu na mabwana zake wa uhakika...hiyo yenye picha yako ni kwa ajili ya wapita njia wanaomsumbua na mashosti fake...ukimpigia ukamkosa jus yupo kwa secured line atakudanganya walikuwa amelala au simu iliishiwa charge chezea wakina Dada..kuna mean a philosophies alisema never trust a woman...
 
Siyo kila mtu anayekuweka profile pic hakucheat,wengine wanakuweka ili wakuridhishe tu,tena hao wanaoweka profile pic za watu wao wanadangnaya wakiuliza utasikia huyu ni bro wangu na watu bado wanakula mzigo
 
Mi popote pale panapoitwa mtandaoni siweki picha yangu, hata ya ndugu yangu, ya kile ninachofanya...
Naona huwa ni ushamba fulani hivi mtu anajipiga picha kabenua makalio afu huyo whatsapp profile..

Kuna watu akili zao ndogo sana


sidhani kama ni akili ndogo, na haina maana asiyeweka ana akili kubwa , mimi nadhani ni maamuzi ya mtu binafsi.....kuweka ama kutokuweka !
 
This is interesting.... Leo mnasoma topic gani huko shuleni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom