Mnaotaka na kulilia jeshi lichukue nchi hamjitambui

Mnaotaka na kulilia jeshi lichukue nchi hamjitambui

Nilikaa mbali na mijadala ya kisiasa kwa muda ila nimelazimika kulisema hili. Huu uzi nilikusudia kuuleta kitambo sana ila nikawa napotezea au kuahirisha kuuleta.

Kuna watu kutokana na sababu wanazojua wao wamekuwa wanatoa kauli za kutaka JWTZ lichukue uongozi wa nchi. Kuna wakati hadi nahisi kuna wanaharakati ambao ni mapandikizi waliowekwa ili kuwalinda CCM na viongozi wake pale hali itakapokuwa ngumu sana kwao.

Nasema hili la jeshi linaweza kuwa pona ya CCM. Kama mnataka mrudi nyuma hatua 50 kwenye demokrasia basi mkubaliane na hilo.

Sehemu kama Sudan, harakati za demokrasia zilizikwa rasmi baada ya jeshi kuingilia kati. Misri ni hivyo hivyo. Maeneo mengi tu demokrasia ilirudi nyuma sana baada ya mapinduzi ya kijeshi.

Mnapopambana kupata uchaguzi huru na wa haki, msitamani kamwe njia za mkato kama hizo za kutaka jeshi lichukue nchi.

..Kwanini jeshi liingilie kati?

..Kwasababu Ccm nao wanatumia majeshi mengine kudhulumu wapinzani.

..kwa hiyo ili Ccm iache dharau na dhuluma inabidi waje watu wenye nguvu inayolingana na majeshi yanayoitumikia Ccm badala ya nchi.
 
Soldiers took over USA in 1776, and China in 1949, and today both states are economic power houses, and both states are superpowers.

Colonel Gaddafi, Jerry Rawlings, Al-Sisi, Paul Kagame, General Museveni all led successful Juntas.

Truth is, even without a Junta, innocent blood will be spilled, as it now.​
 
..lakini Ccm watakuwa wameondoka.

..au Ccm na Cdm wataungana kupigania demokrasia.

..maandamano yataongozwa na Samia na Tundu Lissu.🤣
Yakifanya ufisadi hutoweza kuzungumza kama unavyoisema hivi CCM.
 
CCM inaweza kuondoka vizuri tu kwa mashinikizo ya kisiasa. Hao wanajeshi wangesisitizwa wabaki makambini watimize viapo vyao kwa ukamilifu, siasa wawaachie wananchi, wanasiasa na vyombo vya kisiasa.
Wanaotoa mashinkizo wanauwa na kufungwa jeshi ni sawa tu kwani nini shida cha muhimu ccm itoke
 
But atleast CCM, TISS, PT will be gone.
Hiyo ni wishful thinking mkuu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu.

Kamwe hatashangilia utawala wa kijeshi.

Nchi zote zenye maendeleo ya kweli demokrasia ndio njia sahihi ya kubadili utawala , sio jeshi.
 
Hiyo ni wishful thinking mkuu.

Mtu yeyote mwenye akili timamu.

Kamwe hatashangilia utawala wa kijeshi.

Nchi zote zenye maendeleo ya kweli demokrasia ndio njia sahihi ya kubadili utawala , sio jeshi.

..Ccm inatawala kijeshi kwa kugeuza Polisi na Tiss kuwa jumuiya zake.

..kwa msingi huo wanahitajika jeshi ambao wana msuli sawa na vyombo vinavyotumiwa na Ccm.
 
Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka na maslahi ya Taifa. Nchi ikiwa na viongozi mafisadi, wauaji, watekaji, wanaouza rasilimali za nchi hovyo hao wanageuka kuwa maadui wakubwa wa Taifa kama adui yoyote kutoka nje.

Zingatia pia vyombo vingine vyote vya kuwawajibisha wameviweka mikononi mwao kama chaguzi huru, mahakama, bunge, usalama.

Kinachobaki ni wanajeshi wazalendo kuchukua nchi na kuirudisha kwenye mstari baadaye kurudisha demokrasia.
 
We don't expect much to change. What we want if for CCM to feel our pain. That feeling of powerlessness under a boot-heel and gunbarrel.

After 5-10 years of Junta, then we'll speak the same language. 😁😁​

..Ccm nao waje kitaa waanze kupigwa na kutekwa kama wanavyofanyiwa wapinzani.

..we will all be in the same boat and that is when the struggle for a real and just democracy will begin.
 
1759593002650.png
 
Back
Top Bottom