Mnaosema wanawake wengi kushinda wanaume duniani, hizo data mmezitoa wapi?

flamini

JF-Expert Member
Apr 10, 2015
483
474
Habari,

Mara nyingi nimeshuhudia uzushi kwenye comment nyingi zikisema eti wanawake wapo wengi kushinda wanaume.

Ukweli unaotokana na data za dunia ratio ya wanawake na wanaume ni 1:1 ila wanaume wamezidi kdogo sana. Hizo ni data za dunia ila kimataifa yapo mataifa yaliozidi wanawake kuliko wanaume ikiwemo Tanzania.

Wanaume msijidanganye eti wanawake wapo wengi duniani kuzidi sisi.Tz ndo wanawake wametuzidi kidogo ila nenda arabuni hapo uone wanawake walivokua adimu.
 
Ingekuwa ni jambo jema sana kama ungekuja na facts mezani + your source of information ili ku~justify maelezo yako.

Kwa kuanzia hapo basi uzi ungekuwa mzuri manaake ungetoa nafasi kwa anaetaka kupinga utafiti wako kuja na justification ya data zake pia.

Anywayz uwanja bado unaruhusu kuja na data infact researched data kupinga maelezo yako ila siku nyingine jifunze kuja justified data as a source of your info's.
 
Habari,

Mara nyingi nimeshuhudia uzushi kwenye comment nyingi zikisema eti wanawake wapo wengi kushinda wanaume.

Ukweli unaotokana na data za dunia ratio ya wanawake na wanaume ni 1:1 ila wanaume wamezidi kdogo sana. Hizo ni data za dunia ila kimataifa yapo mataifa yaliozidi wanawake kuliko wanaume ikiwemo Tanzania.

Wanaume msijidanganye eti wanawake wapo wengi duniani kuzidi sisi.Tz ndo wanawake wametuzidi kidogo ila nenda arabuni hapo uone wanawake walivokua adimu.
Nkajua utatoa mfano gani kumbe unatoa mfano uarabuni.

Uarabuni ni nchi za kiislam so huwa wanawake wengi wamo majumbani mwao si wote wanao tembea kila pahali

Cku za ckukuu ndo utawaona wengi wakitoka na pia cyo wote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,

Mara nyingi nimeshuhudia uzushi kwenye comment nyingi zikisema eti wanawake wapo wengi kushinda wanaume.

Ukweli unaotokana na data za dunia ratio ya wanawake na wanaume ni 1:1 ila wanaume wamezidi kdogo sana. Hizo ni data za dunia ila kimataifa yapo mataifa yaliozidi wanawake kuliko wanaume ikiwemo Tanzania.

Wanaume msijidanganye eti wanawake wapo wengi duniani kuzidi sisi.Tz ndo wanawake wametuzidi kidogo ila nenda arabuni hapo uone wanawake walivokua adimu.

Huko arabuni hizo takwimu ulizifanyia wapi.?

Hujui kuwa kwa desturi za waarabu ni mwiko wanawake kuzururazurura.?
 
Nkajua utatoa mfano gani kumbe unatoa mfano uarabuni.

Uarabuni ni nchi za kiislam so huwa wanawake wengi wamo majumbani mwao si wote wanao tembea kila pahali

Cku za ckukuu ndo utawaona wengi wakitoka na pia cyo wote


Sent using Jamii Forums mobile app
umekariri mkuu.mimi nimezungumzia dunia nzima wanawake na wanaume wapo ratio sawa..ila ki inch kuna nchi zimezidiana mf.arabuni wanaume wengi,huku tz wanawake wengi.

Kwa details zaidi ebu jisomee Sex ratio - Wikipedia
 
Ni kweli ratio ya wanaume kwa wanawake ni almost 1:1 ila kwa baadhi ya sehemu mfano africa na europe wanawake ni wengi kuliko wanaume wakati kule far east kuna uhaba wa wanawake.
Hii niliitoa kwenye data za UN.
 
Ni kweli ratio ya wanaume kwa wanawake ni almost 1:1 ila kwa baadhi ya sehemu mfano africa na europe wanawake ni wengi kuliko wanaume wakati kule far east kuna uhaba wa wanawake.
Hii niliitoa kwenye data za UN.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-08-29-20-01-21.png
    Screenshot_2017-08-29-20-01-21.png
    48.3 KB · Views: 37
Ni kweli ratio ya wanaume kwa wanawake ni almost 1:1 ila kwa baadhi ya sehemu mfano africa na europe wanawake ni wengi kuliko wanaume wakati kule far east kuna uhaba wa wanawake.
Hii niliitoa kwenye data za UN.

Na pia asisahau wanaume wanawahi kufa kuliko wanawake. Hivyo kufanya overal scenario wanawake kuzidi.
 
Back
Top Bottom