ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Katika mambo ya kushangaza ccm imekuwa ikimtumia sana Mh Wassira katika mijadala mbalimbali na kuthibitisha chati yake IPO juu agliongoza kwa kura aliposhinda ujumbe was halmashauri kuu ccm taifa na amekuwa akitajwa ktk wanaokitamani kiti cha enzi lakini with wanasahau huyu jamaa alishapatikana na hatia ya rushwa na kuvuliwa ubunge was bunda alipokuwa nccr mageuzi