Mnaompenda rais Magufuli 'msiogope kumshauri'

Mnaompenda rais Magufuli 'msiogope kumshauri'

Na tumeambiwa bado alikuwa akiuza sukari tani 250 kwa siku...sasa sielewi walitaka auze tani 1000 kwa siku??????
nakulikuwa na folen ya wanunuzi dukani kwake!! Unajua kuna vilaza humu ndan ni waongo waongo na hupenda kutengeneza story za kuonekana kama serkal Inajali wakat uongo mtupu
 
Back
Top Bottom