Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,075
- 134,453
Humu Ukimsema mh kuna wadau watakushambulia uzi mzimaKwa nini ashambuliwe?Ni ukweli ulio wazi kwamba Rais hana washauri wazuri kabisa.Angekuwa nao hii aibu ya ukosefu wa sukari nchini isingekuwepo.Yapo matukio mengi yanayondihirisha jambo hili.
Rais anatumia data usidhani anakurupuka. Kabla ya maamuzi hupewa kila kitu na hii imejidhihirisha wafanyabiashara hupenda kutupia mianya kama hii sasa wamampata kiboko yake hawana pa kupenyea daima wanataka Super profit kwa expense ya walala hoi!Mwacheni rais afanye kazi, anafaham anachokifanya, taarifa anazozitumia kufikia maamzi ni reliable, he has many sources than you. Ulimsikia aliposema juu ya exported sugar kutoka Brazil ambayo huwa ime expire lakini inabadilishwa mifuko? Tafadhari tumwache afanye kazi....
mkuu usitetee tu mpaka ujinga. rais anatakiwa kuambiwa ukweli hata kama haupendi. hiyo ni kazi ya washauri wake na hata kama ningekuwa mimi ningekuwa tayari kupoteza hata kibarua kwa kulinda masilahi ya taifa. suala la upungufu wa sukari sio geni nchini kwa sababu viwanda vya ndani havikidhi mahitaji.Mwacheni rais afanye kazi, anafaham anachokifanya, taarifa anazozitumia kufikia maamzi ni reliable, he has many sources than you. Ulimsikia aliposema juu ya exported sugar kutoka Brazil ambayo huwa ime expire lakini inabadilishwa mifuko? Tafadhari tumwache afanye kazi....
Nilichogundua ni kuwa hata Scenario yenyewe ya huyu Papa wa sukari nchini hujaipata vizuri, Yule ni supplier wa sukari ambaye anasupply kwa wafanyabiashara wengi jijini sasa huu mfano wako "duka la Jumla na kastore kadogo kakuwekea sukar lipo karkoo bt ghala lipo tabata ambako ndo ameweka matan" una maana gani hasa kwenye Scenario hii..???
Bro..asante sana kwa bandiko lako mkuu awali ya yote naomba unitajie hyo filamu ya castro na mie niione ni moja kati ya watu nawapenda sans kuwafatilia..
Umeongea vizuri sana kuhusu magufuli ..tatizo la watu wengi sana ni kukosa ujasiri ns nafsi za kinafiki mtu alomnafiki muda wowote kwenye hali ngumu au vitisho hawezi kuutetea ukweli..ndicho kinachowakuta washauri wa mh...syo tu kwenye sukari ..hata kwwnye mambo mengne kwa mfano mpaka kufika wiki.ilopita mawaziri wake walikuwa bado hawajskabidhiwa instruments kisheria.kitu ambacho kinawanyima uhalali.kutekrleza majukumu yao kwa wizara walizoteuliwa..na wanajua kabisa kuwa rais hajawakabidhi takribani miezi sita..haya mwanasheris mkuu yupo waziri wa sheria ambae ni swahiba wake yupo..hawa wote wamegeuka waoga na hawawezi tena kuwa free minded kumshauri mh...sasa tunakwenda wapi nchi inakwwnda wapi?..bunge lingetakiwa sasa kumshauri lakin no room anymore limefichwa na kupokwa meno na nguvu yake..the one man show game for 5 yrs
Kwani wewe Raisi Magufuli kama binadamu amekukosea nini mpaka umchukie kiasi hicho, kwa maana umesema wanaompenda ina maana wewe haumpendi, sasa embu tuambie amekukosea nini kwa maana umekwenda mbali sana, hizi ni siasa tu fisadi Lowasa hakujui na wala hatominya hata kope yake jicho akisikia siku umeanguka, hivyo acha chuki kwa mtu usiyemjua kwa sababu ya siasa!
Ukimkosoa unapewa all sorts of names. Mfumo wa "Zidumu fikra" na a "one man show" surrounded by "Yes men!" bado haujafutika.
Hakuna room ya kupinga idea zake, ukipinga utaitwa jipu au mhujumu uchumi. Lakini hoja yako haitajibiwa.
Ukiwa a decision maker lazima uwe na The "tenth" man! Kazi yake ni kuchallenge ushauri uliopewa na maamuzi uliyofanya. Hii inasaidia kujenga na kuboresha maamuzi yako. Unfortunately, hakuna huyo mtu. Kila mtu ni kuimba nyimbo za kusifia.
mkuu usitetee tu mpaka ujinga. rais anatakiwa kuambiwa ukweli hata kama haupendi. hiyo ni kazi ya washauri wake na hata kama ningekuwa mimi ningekuwa tayari kupoteza hata kibarua kwa kulinda masilahi ya taifa. suala la upungufu wa sukari sio geni nchini kwa sababu viwanda vya ndani havikidhi mahitaji.
sasa fikiria hii kama sio aibu; wiki chache zilizopita rais alituambia sukari ya ndani itatosha hatuhitaji ya nje kupromote viwanda vya ndani (hiyo ni nia njema hakuna anayekataa)
lakini siku chache zilizopita bungeni waziri mkuu anatueleza kuwa nchi ina upungufu wa sukari na wameaagiza tani 100 nje. (tunarudi kulekule walikokukataa).
hivi ni kweli kulikuwa na ulazima wa kufika huku?
kuhusu ku-expire kwa sukari sijui kutoka Brazil, hilo ni suala la kiutendaji la mamlaka husika kwa maana ya TFDA na TBS. hao walitakiwa wajibu shutuma hizo. na wala hilo haliwezi kuwa excuse ya nchi kutokuagiza sukari nje kufidia gap lililopo.
Sote tunatambua ilani ya CCM na nia ya dhati ya Magufuli kufufua viwanda nchini. hilo halina shaka, lakini haliwezi kufanyika overnight. lazima liende taratibu na kwa umakini wa hali ya juu.
hata sishangai ikawa kweli na wao wameziona/zisikia kwenye TV kama sisi wakati rais akiongea na wananchi waliomsubiri barabarani.Na usikute TFDA na TBS hadi Rais anahutubia habari hizo hawakuwa na taarifa yoyote kuhusu sukari mbovu
na sasa labda walazimishwe 'kuunga mkono jitihada za Rais'
Kwani wewe Raisi Magufuli kama binadamu amekukosea nini mpaka umchukie kiasi hicho, kwa maana umesema wanaompenda ina maana wewe haumpendi, sasa embu tuambie amekukosea nini kwa maana umekwenda mbali sana, hizi ni siasa tu fisadi Lowasa hakujui na wala hatominya hata kope yake jicho akisikia siku umeanguka, hivyo acha chuki kwa mtu usiyemjua kwa sababu ya siasa!
waziri yupi huyo? mtaje nawengine tumjue.The Boss kati ya hao mawaziri pale,nionyeshe mmoja tu mwenye huo ujasiri.
hivi uataka kila mmoja amsifie magufuli humu? ni wajibu wetu kumkosoa. magufuli tumempigania sana kuanzia mitaani tunapokaa, kwenye mitandao ya kijamii mpaka kwenye sanduku la kura. ni wajibu wetu pia kuhakikisha anatimiza ndoto zetu kama wananchi. pale anapokosea lazima tumseme waziwazi bila kificho ili ajue kuwa waajiri wangu hawataki hili na wanataka lile.Kwani wewe Raisi Magufuli kama binadamu amekukosea nini mpaka umchukie kiasi hicho, kwa maana umesema wanaompenda ina maana wewe haumpendi, sasa embu tuambie amekukosea nini kwa maana umekwenda mbali sana, hizi ni siasa tu fisadi Lowasa hakujui na wala hatominya hata kope yake jicho akisikia siku umeanguka, hivyo acha chuki kwa mtu usiyemjua kwa sababu ya siasa!
Mkuu labda siyo mfanyabiashara ndo mana Povu linakutoka sana, then usipende kufkir kila kitu ni rahisi, Ngoja nikupe mfano: duka la Jumla na kastore kadogo kakuwekea sukar lipo karkoo bt ghala lipo tabata ambako ndo ameweka matan mengi, sasa tatizo langu ni kwa hao watu kudanganya kwamba sukar imefichwa ni uwongo mkuu,