Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,397
That's what they areHii ni dharau kubwa sana kwa wapiganaji wetu. Unawezaje kuwaita wanajeshi wetu vilaza? Pamoja na kwamba katika jamii yoyote au kusanyiko lolote la binadamu, vilaza wachache hawawezi kukosekana. Kwa hiyo kuwepo kwa vilaza wachache isikufanye wewe kuwaita kuita kusanyiko lote vilaza.
Tafadhali tengua kauli yako
Huu ni ujumbe mujarab na wenye uzito kwa wanajeshi wa kada za chini.(sent n delivered). Kazi kwao.Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Mosha.
As time passes by, those sentiments will age like fine wine.
On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.
Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.
Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.
Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?
Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?
Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.
Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.
Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.
Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?
Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.
JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Once again, my words will age like fine wine.
Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.
Watch this space……
Nasikia walichalazwa bakora za kutosha, baadae wakafurushwa na kurudi kimyakimyaTangu jeshi letu lilivyojiingiza kwenye mgogoro wa mashariki ya Congo na kuzingirwa kiboya na M23, hatimaye kutekwa kabisa... Sina imani kabisa na JWTZ.
Jeshi limetekwa kisiasa na kuacha kabisa majukumu yao ya msingi, ni kiashirio kuwa hata amri zinazotolewa na kutekelezwa na askari wapiganaji zina mkanganyiko!.
Silioni tena lile jeshi lililozima shambulizi la Iddi Amin mwaka 1970 au lile lililomng'oa Idd Amin miaka kumi baadaye. 😇
Kutegemea jeshi lilete demokrasia, haki na uhuru ni contradiction.Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Mosha.
As time passes by, those sentiments will age like fine wine.
On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.
Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.
Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.
Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?
Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?
Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.
Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.
Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.
Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?
Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.
JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Once again, my words will age like fine wine.
Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.
Watch this space……
Hamta amini macho yenuTalk is cheap.
Jeshi kuchukua madaraka ya kuongoza nchi ni precedent mbaya sana.5. Hawana akili za kuangalia mambo kama unintended consequences, bad precedent, na madhara ya muda mrefu ya mapinduzi ya kijeshi. Kifupi ni watu wenye akili fupi sana ambao hawawezi kupima mambo kwa kina.
Naam.Jeshi kuchukua madaraka ya kuongoza nchi ni precedent mbaya sana.
Ni mbaya kwa sababu inatoa ‘uhalali’ kwa jeshi hilo hilo kuitoa madarakani serikali ingine kwa sababu tu serikali hiyo haikidhi matarajio ya wananchi.
Matokeo yake unatengeneza a vicious circle ambayo ni ngumu kujinasua.
Itakuwa kila inapotokea watu hawaipendi serikali iliyopo, solution ni jeshi kuchukua nchi.
Pia, sidhani kama watu wamefikiria kwa kina kuhusu kuishi chini ya martial law!
Hv ccm ni nani na ni wangapi?Nani kakwambia watz tunategemea jeshi ili kujikomboa? Kwa taarifa yako watz wakiamka kudai ukombozi dhidi ya hii serikali ya ufisadi hakuna wa kuwazuia. Ni kwamba tu ccm bado imeshikilia vichwa vingi vya watz wasio jua lolote linaloendelea katika nchi yao.
Luteni, mwenye nyota 2 anachukua take home zaidi ya 2m.Atleast iko sawa kuliko Afya,polisi na Walimu ...nasikia asiyekua na cheo chochote anapewa zaidi ya 900k.
Humu wanajeshi wapo watatusaidia
UWEZi amini BAADA ya kuona unaamini kablaI’ll believe it when I see it.
Until then, hamna kitu hapo.
Bila maandamano kama yale ya Tahrir Square, hakuna kitachobadilika.
Jeshi (JWTZ) linawalinda wananchi dhidi ya kuvamiwa na majeshi ya nje, linalinda mipaka.Kama jeshi limeshindwa kulinda wananchi kwanini tusiombe majeshi kutoka nje yaje yatulinde kama ilivyo kongo la muhimu sisi raia tuyaunge mkono majeshi ya nje
Marekebisho muhimu;Lamri nyingi mno mkuu, subiri matokeo basi