Two wrongs,do not make it light,
S
ongwe, haikutakiwa kuwa mkoa, ingebaki Mbeya tu, Katavi ingefutwa, Manyara ingefutwa, Pwani Ingefutwa, Dar ingebaki na wilaya zake tatu tu, Ubungo, Kigamboni zingefutwa,
Hizi hoja kwamba unasogeza huduma kwa wananchi? Kwani umbali unaongezeka? Lazima tuwe na kikomo Cha idadi ya mikoa, wilaya, kata, bila hivyo kwa miaka 100 ijayo,tutakuwa na mikoa 70!