Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
- Thread starter
- #61
Aisee mnaoishi na wanawake mnawezaje!,hapa nimeishi na mwanamke miezi minne lakini naona kama miaka 9,hapa nilipo nina mood yakusafiri pasipojulikana narudi after 2years,hana fujo zozote ila nahisi kuchoka tu
NDIO MAANA KUNA MITUME HAWAKUWEZA OA KUTUNZA UTUME WAOAisee mnaoishi na wanawake mnawezaje!,hapa nimeishi na mwanamke miezi minne lakini naona kama miaka 9,hapa nilipo nina mood yakusafiri pasipojulikana narudi after 2years,hana fujo zozote ila nahisi kuchoka tu
Aisee mnaoishi na wanawake mnawezaje!,hapa nimeishi na mwanamke miezi minne lakini naona kama miaka 9,hapa nilipo nina mood yakusafiri pasipojulikana narudi after 2years,hana fujo zozote ila nahisi kuchoka tu
Naunga mkono comment hiiRahisi kuishi na hawa watu zingatia yafuatayo:
1. Usichoke kuwasifia.
2. Usipuuze vipaumbele vyao, ahidi tu hata kama huna uwezo wa kutimiza.
3. Usichoke kuomba msamaha hata kama hujakosea. Hata kama kakukosea wewe omba msamaha.
4. Usiwe mtu wa kukosoa zaidi zaidi sifia, kama haiwezekani tia moyo.
Ondoka hiyo miaka miwili, ukirudi utamkuta na watoto 3 au zaidi na atakuambia ni wakoAisee mnaoishi na wanawake mnawezaje!,hapa nimeishi na mwanamke miezi minne lakini naona kama miaka 9,hapa nilipo nina mood yakusafiri pasipojulikana narudi after 2years,hana fujo zozote ila nahisi kuchoka tu
Kaa naye sasa ulimpa kitu hajawahi pewaNi ile staili mara leo kaacha pichu mara kesho kaacha kitenge mara paapu kaamia
Kuna mdau mmoja alisema eti hawa ni watoto wao ambao walipatikana ki bahati mbaya tu baada ya wao kusahau kuvaa kondomu enzi ujana wa huyo mdau.Wewe ni under 16,uwe unahudhuria sherehe za mtoto wa Afrika kila ifikapo June 16.

Inachosha sana yaanIli hali tu yakugandana
Yani we acha tu mkuu,Raha ni ya muda mfupi sana
Hapo ngoma drooyeye hana akili au wao ndio hawana akili!!
Siunajua ile staili anakuja kulala siku moja mara kahamia