Mnaokaa na wanawake mnawezaje?

Mnaokaa na wanawake mnawezaje?

Rahisi kuishi na hawa watu zingatia yafuatayo:
1. Usichoke kuwasifia.
2. Usipuuze vipaumbele vyao, ahidi tu hata kama huna uwezo wa kutimiza.
3. Usichoke kuomba msamaha hata kama hujakosea. Hata kama kakukosea wewe omba msamaha.
4. Usiwe mtu wa kukosoa zaidi zaidi sifia, kama haiwezekani tia moyo.
Wewe una akili timamu? Unavyoishi na mtu wako usitake kila mtu aishi hivyo, amekosea uombe msamaha wewe? What a stupidity? Kwa hilo hapana. Atasifiwa tu kama anastahili, na si vinginevyo.

Na ndio maana mnalia kuumizwa kila siku kwa ujinga wenu huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujakuwa bafl
Aisee mnaoishi na wanawake mnawezaje!,hapa nimeishi na mwanamke miezi minne lakini naona kama miaka 9,hapa nilipo nina mood yakusafiri pasipojulikana narudi after 2years,hana fujo zozote ila nahisi kuchoka tu
 
Mi nilikaa miaka miwili ilikuwa kama miaka 20..
Saiz sitaki kabisa kusikia hizo habari.. shida ya wanawake unamchukua umsitiri tu matokeo yake anaanza kutaka kukutawala.

Kweli kabisa kiongozi!mara unaenda wapi,ulikuwa na nani,unafanya nini!,unajikuta unaishi kama upo kituo cha polisi
 
Back
Top Bottom