Mnaokaa na wanawake mnawezaje?

Mnaokaa na wanawake mnawezaje?

Aisee mnaoishi na wanawake mnawezaje!,hapa nimeishi na mwanamke miezi minne lakini naona kama miaka 9,hapa nilipo nina mood yakusafiri pasipojulikana narudi after 2years,hana fujo zozote ila nahisi kuchoka tu
Asee wewe sio wa kuoa.
 
HIYO KITU IPO ASEE ...
SISHANGAI ,

ME HUWA STAKI ATA KUSKIA HAYO MAMBO YA KUISHI NA MWANAMKE...

unaweza ukaf k s t r e s s.
 
Mi nilikaa miaka miwili ilikuwa kama miaka 20..
Saiz sitaki kabisa kusikia hizo habari.. shida ya wanawake unamchukua umsitiri tu matokeo yake anaanza kutaka kukutawala.
 
Rahisi kuishi na hawa watu zingatia yafuatayo:
1. Usichoke kuwasifia.
2. Usipuuze vipaumbele vyao, ahidi tu hata kama huna uwezo wa kutimiza.
3. Usichoke kuomba msamaha hata kama hujakosea. Hata kama kakukosea wewe omba msamaha.
4. Usiwe mtu wa kukosoa zaidi zaidi sifia, kama haiwezekani tia moyo.
Mwanamke hana tatizo lolote, jamaa kashachoka, sasa ukimpa hii orodha atakuwa na hali gani?
 
Back
Top Bottom