CHE Raptino
JF-Expert Member
- Mar 11, 2017
- 1,027
- 1,065
Tena ukijifanya muongeaji sana nitakuteka na kukupoteza pundeNyinyi majungu na utekaji mnahusika
Tena ukijifanya muongeaji sana nitakuteka na kukupoteza pundeNyinyi majungu na utekaji mnahusika
Hatuoni shida kukupoteza kabisa na tunaweza fanya hivyo pasi na kiumbe yeyote kufahamu tutapokuficha.Tena hatupangiwi,tunafanya chochote na tunatoka.
Umefanya tafiti ngapi hizo? Titles za tafiti zinasomekaje ili ikihitajika tufanye citation na referencing? Weka abstract hapa tuangalie taswira ya machapisho ya tafiti zakoNimefanya tafiti zangu nikagundua sisi wenye vielimu vyetu kadigree kamoja tunatusua kuliko wenye maelimu makubwa. Hebu tusaidiane nini sababu ili tuwaelekeze vyema watoto wetu nini cha kufanya maana wasomi wengi wa kitanzania sio wabunifu kabisa
Bado hujamwelewa tuuu yeye kashasema yeye sio msomi, kwahyo sioni haja ya kumlaumu.Umefanya tafiti ngapi hizo? Titles za tafiti zinasomekaje ili ikihitajika tufanye citation na referencing? Weka abstract hapa tuangalie taswira ya machapisho ya tafiti zako
Kabisa mkuu,kama wao ni wasomi,je,sisi tutaitwaje?Eee hao wasomi watusaidie na sisi mbinu za kisomi..kwa maana wasomi ni wenye digirii...sisi wengine la saba sio wasomi
Na hata sisi ni wasomi...japo la saba B, kwani msomi amefikia hatua gani ya elimu?Kabisa mkuu,kama wao ni wasomi,je,sisi tutaitwaje?
Biashara ikikuvuriga, ukapata loss, pressure juu, unarudi kwa wanaojua A na B+ ili wakusaidie kutetea uhai wako,Wanafikiria A na B+ muda huo wenzao wanafikiria $.
Muda huo wakifanya kazi kutetea uhai wangu wanawaza ntawalipa shs/$ ngapi.Biashara ikikuvuriga, ukapata loss, pressure juu, unarudi kwa wanaojua A na B+ ili wakusaidie kutetea uhai wako,
Mkuu kujua kusoma na kuandika kunaweza kukutosha sana katika maisha ukijikubali,ukajitambua na kubainisha unachotaka maishani mwako.Ni tofauti na watu wanaojiita wasomi na mavyeti lukuki wakijinasibu kuwa wamesoma huku hawana chochote waalichobuni wanategemea kuajiriwa walipwe mishaharaSisi La saba B vipi mkuu
ahaa kumbe ndio hivyo...Mkuu kujua kusoma na kuandika kunaweza kukutosha sana katika maisha ukijikubali,ukajitambua na kubainisha unachotaka maishani mwako.Ni tofauti na watu wanaojiita wasomi na mavyeti lukuki wakijinasibu kuwa wamesoma huku hawana chochote waalichobuni wanategemea kuajiriwa walipwe mishahara
Zipo nyingi mkuu kama hutaki kuelewa endelea kusubiri na vyeti vyakoUmefanya tafiti ngapi hizo? Titles za tafiti zinasomekaje ili ikihitajika tufanye citation na referencing? Weka abstract hapa tuangalie taswira ya machapisho ya tafiti zako