TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,749
- 21,202
Kamati kuu ya CCM inayoendelea na vikao vya kuchakata majina ya wagombea nafasi ya Ubunge jijini Dodoma inaendelea na kazi moja kubwa na yenye machungu kwa safari ya ahadi.
Kitu kimoja ambacho wale walio ndani ya tatu bora wanapaswa kuichukua hasa wale wanaojipanga endapo watakatwa wasepe/waondoke na kijiji nafasi hiyo uenda, nasema uenda isiwepo na watabaki kuunga juhudi kwa lazima ndani ya chama.
Ikumbukwe vikao hivi vimechelewa kuanza kutokana na inteljinsia ya CCM kung'amua mpango unaosubiliwa na wao au vyama vya upinzani kwa garasa ambazo zitaachwa ili wakose pa kwenda.
SOMA...
Mpango mahususi ni huu hapa, msema chochote wa CCM Humphrey Polepole alitoa taarifa kwa wagombea wote wawepo kwenye vituo vyao vya kuchukulia fomu, kwa wajuzi wa mambo hii imekaa kimachale sana.
Papo kwa hapo majina ya wagombea yatasomwa siku ya mwisho kabisa kabla ya kurudisha fomu ili pale mgombea anapotangazwa (akiwa tayari na taarifa) anaenda kuchukua fomu (faster) kujaza na kurudisha kwa haraka sana.
Na ndipo wale watakaoisoma namba watashindwa ku_jump upande wa pili na kurudi nyumbani na kilio kikuu na kusaga meno, ambapo masaa machache dirisha la usajili linafungwa rasmi.
Hapo ndipo unaweza kuona chama janja kikongwe wameweza kucheza mchezo wa kupaki basi kwenye final ili kuwapatia hukumu wale wanaosubili makombo au wenye mlengo wa kutaka kukidhoofisha chama kiaina.
Kwenu ACT, CDM nk kwenye majimbo ambayo hamjasimamisha wagombea fanyeni hima mkasimamishe watu, vinginevyo itakula kwenu.
👋 Alamsiki.
Kitu kimoja ambacho wale walio ndani ya tatu bora wanapaswa kuichukua hasa wale wanaojipanga endapo watakatwa wasepe/waondoke na kijiji nafasi hiyo uenda, nasema uenda isiwepo na watabaki kuunga juhudi kwa lazima ndani ya chama.
Ikumbukwe vikao hivi vimechelewa kuanza kutokana na inteljinsia ya CCM kung'amua mpango unaosubiliwa na wao au vyama vya upinzani kwa garasa ambazo zitaachwa ili wakose pa kwenda.
SOMA...
Mpango mahususi ni huu hapa, msema chochote wa CCM Humphrey Polepole alitoa taarifa kwa wagombea wote wawepo kwenye vituo vyao vya kuchukulia fomu, kwa wajuzi wa mambo hii imekaa kimachale sana.
Papo kwa hapo majina ya wagombea yatasomwa siku ya mwisho kabisa kabla ya kurudisha fomu ili pale mgombea anapotangazwa (akiwa tayari na taarifa) anaenda kuchukua fomu (faster) kujaza na kurudisha kwa haraka sana.
Na ndipo wale watakaoisoma namba watashindwa ku_jump upande wa pili na kurudi nyumbani na kilio kikuu na kusaga meno, ambapo masaa machache dirisha la usajili linafungwa rasmi.
Hapo ndipo unaweza kuona chama janja kikongwe wameweza kucheza mchezo wa kupaki basi kwenye final ili kuwapatia hukumu wale wanaosubili makombo au wenye mlengo wa kutaka kukidhoofisha chama kiaina.
Kwenu ACT, CDM nk kwenye majimbo ambayo hamjasimamisha wagombea fanyeni hima mkasimamishe watu, vinginevyo itakula kwenu.
👋 Alamsiki.