Mnaofanya kazi mbali na wake zenu

Mnaofanya kazi mbali na wake zenu

Natumaini wazma wa afya huko mliko niende moja kwa moja ndoa zina mambo mengi sana kuna mda kama kijana naogopa siku nikiingia kwenye kifungo hiki nmepanga na jirani yangu hapa nahisi anafanya kazi za magari yanayo vuka mipaka ya Tanzania jamaa anamaliza miezi haonekan mke wake mpole ila analiwa kila siku huku sipendi kufatilia maisha ya watu ila nimeona nmshitue kama yupo humu ajue mkewe anapigwa mda huu wahuni wanakamia wakezenu

Sent using Jamii Forums mobile apj
Jirani yangu yaani umekuja kunitangaza huku!!!
 
Sidhani Kama mwanaume Ana kosa hapo maana yeye kaenda kuitafutia familia Yake.Tatizo lipo kwa mwanamke Yaani huyo Ni Malaya wa kiwango Cha pro max.

Ila hizi ndoa Zina changamoto Sana.Mtu kajitutua kuendea kutafutia familia Yake riziki afu mwenzake naye anatanulia wanaume wengine miguu.
 
Mke wa mtu kuliwa nowdayz sio ajabu unamuoa mwanamke ashatembea na watu kama 30+ kabla ya ndoa unadhani we utamridhisha kwa lipi tena huyo umesema anasafri had miez 3 unadhan kwa sasa wanawake mikiki ambayo wameshazoea kuna wa kuvumilia hio miezi 3 iishe bila kuliwa hapo ni big NO kuliwa kupo najua hata huyo mme wake huko aliko anakula vizur tu tena anaweza amua anatembea nae kwenye gari na hamna mtu atamuuliza ko acha tu awape wahuni kipochi chenyewe hata hakiishi labda mme wake atakuja kushangaa mbeleni mbn kama kimetumika sana na yeye muda mwingi hayupo
 
Mwanaume popote kambi wewe unataka ukae nyumbani daily hiyo sio kinga ya mke wako kutokusaliti.

Madereva wanaenda Kongo miezi 3, Mabaharia wanakaa nje ya nchi miezi 6/9/12, kuna wadau wapo Msumbiji zaidi ya miaka 3 hawawazi hilo wazo la mke kusaliti.

Chagua mapenzi au maendeleo

Chagua k ama pesa [emoji28]noted
 
sipendi kufatilia maisha ya watu ila nimeona nimshitue kama yupo humu ajue mkewe anapigwa muda
Mbona unaonekana Mbea mzoefu tu kaka? Sema hujajigundua yaani upo Professional kbs!
 
Ishi na mke wako sehemu unayofanyia kazi.
Maana ya ndoa sio kuishi mbali mbali.

Mke ni ubavu wa mume.. wanapaswa wawe pamoja kupeana mahitaji yao
Kwa hiyo dereva wa roli liendalo Kongo aishi na mkewe kwenye hilo roli au?
 
Mwanaume popote kambi wewe unataka ukae nyumbani daily hiyo sio kinga ya mke wako kutokusaliti.

Madereva wanaenda Kongo miezi 3, Mabaharia wanakaa nje ya nchi miezi 6/9/12, kuna wadau wapo Msumbiji zaidi ya miaka 3 hawawazi hilo wazo la mke kusaliti.

Chagua mapenzi au maendeleo
Umemaliza
 
Back
Top Bottom