Mnajua kwanini Lowassa anapendwa?

Mnajua kwanini Lowassa anapendwa?

Hiyo ndiyo channelling katika majukumu...kitu ambacho Magufuli hana.

I know Magufuli inside out but nachelea kuandika baadhi ya vitu coz vinaweza kunifanya watu wake wa karibu wanijue.

Unajipendekeza kwa Magufuri.

Komaa utaambulia U-DC.
 
Mwaka huu atasema kila kitu ilimradi tu apate URAHISI................................
 
Maamuzi magumu, kila mtu atafanyakazi na atapata ujira wake
 
Ndio maana ukajiita Gwamahala I,e wa akili kwa kinyakyusa ila wewe kiuhalisia ni mndengereko.....thats good chief...mwaga ugali wa Magufuli basi mkuu.

Wewe...umemponda mwenzio jiwe kichwani, ona sasa amekimbia lol..!
 
Lowassa hapendwi watu tu wanafata mkumbo, sababu watu hawahawa wanaompenda ndio walikuwa wanamuita fisadi number moja..
 
Kila siku nauliza hili swali ila sijajibiwa,Pombe magufuri anajivunia kusimamia ujenzi wa barabara hata km ni kodi zetu.Lowasa alifanya nini kipindi cha uongozi wake serikalini? Wanazi naomba mfunguke,acheni ushabiki mandazi mnadi mgombea wako aliyoyafanya na anataka kutufanyia nini ili twende sawa isijekuwa mnafata mkumbo tu.
 
Katika vitu nilivyocheza kama pele ni hii ID ndugu...itawapoteza wengi sana.
September mosi TCRA na wewe wala hujampoteza mtu. Kama unatumia simu na unataka kuwa anonymous ni-PM nikufundishe ujanja. ni FBI procedures ndugu na mpaka wakafike kwenye simu yako mweh!
 
Lowassa kachukua ya kawaida sana hata jambazi ana maamuzi magumu
 
Back
Top Bottom