Mzigua_255
JF-Expert Member
- Jun 25, 2026
- 814
- 1,646
Sure, vp kiongoz kwema?? naon umeongea kwa hisia sanSiku zote mtu ambae ni mnafki unatakiwa uishi nae kinafk mana kuna watu wanafk wanaojifanya wema kumbe wabaya anajifanya ni rafiki yako kumbe anakudanganya anaweza kujifanya anakuuliza mipango yako n.k kumbe anataka tu kukuharibia au kukutangaza umbea so! mnafk ish nae kinafk
Wewe mtu mnafk unaish nae vp?
Kawaida mkuuSure, vp kiongoz kwema?? naon umeongea kwa hisia san
Yeah unaweza kua mnafk kwa rafik mnafkNdo unalijua leo
Mnafki atafte wanafki wenzie katilia mbaliYeah unaweza kua mnafk kwa rafik mnafk
Pole sana mzigua itakuwa ndo wewe Mzigua90 maana sijakuona jukwaani kwa muda mrefu sana.Siku zote mtu ambae ni mnafiki unatakiwa uishi nae kinafiki mana kuna watu wanafik wanaojifanya wema kumbe wabaya anajifanya ni rafiki yako kumbe anakudanganya anaweza kujifanya anakuuliza mipango yako n.k kumbe anataka tu kukuharibia au kukutangaza umbea so! mnafik ish nae kinafiki
Wewe mtu mnafiki unaishi nae vipi?
bora angesema ishi nae kwa akili, ila hivyo si wote mtakuwa wanafiki wawili manoishi pamoja,Sasa unaishije nae kinafiki kama na wewe si mnafiki!!
Yeah hata wewe upo sawabora angesema ishi nae kwa akili, ila hivyo si wote mtakuwa wanafiki wawili manoishi pamoja,
Hapo wanakuwa wanafiki wawili ambao kila mmoja anajiona yuko sawa ila mwenzie ndio mwenye tatizo.bora angesema ishi nae kwa akili, ila hivyo si wote mtakuwa wanafiki wawili manoishi pamoja,
Na hivi karibuni zimekuwa nyingi sanaMpo serious sana na drama za kimatumbi asee
Ukijikita na kazi kwa kina hizi drama haziwezi kula ubongo wako kamwe inaonekana watu wapo kwenye comfort zone sanaNa hivi karibuni zimekuwa nyingi sana
Kuna watu humu wanamichezo mbaya sana, ukiwa na ubongo wenye ego hutoboiUkijikita na kazi kwa kina hizi drama haziwezi kula ubongo wako kamwe inaonekana watu wapo kwenye comfort zone sana
Hahaha , comfort zone bwasheeKuna watu humu wanamichezo mbaya sana, ukiwa na ubongo wenye ego hutoboi
Ishu ipo kugundua huu ni unafiki na huu ni wema halisi..!!Siku zote mtu ambae ni mnafiki unatakiwa uishi nae kinafiki mana kuna watu wanafik wanaojifanya wema kumbe wabaya anajifanya ni rafiki yako kumbe anakudanganya anaweza kujifanya anakuuliza mipango yako n.k kumbe anataka tu kukuharibia au kukutangaza umbea so! mnafik ish nae kinafiki
Wewe mtu mnafiki unaishi nae vipi?