Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
Ndio mkome kujenga kwa kutumia ramani za mafundi Michael na kufanya setting ya nyumba bila kujali uelekeo wa upepo
 
mkuu ndo maana tunashauriwa kabla ya kununua ramani mitaani na kuanza ujenzi, mchukue mchora ramani mpeleke kwny kiwanja moja ya vitu atakavyoviangalia ni jua linachomoza na kuzama wapi, lengo ni kujua mpangilio wa vyumba, sebule na vyoo vikaaje ili kuepusha icho ulicho kisema pamoja na hali ya joto na baridi ktk nyakati tofauti za kila siku. Ukinunua ramani kienyeji inaweza isiendane na mazingira ya kiwanja chako mfano choo kuwepo kunakotokea upepo harufu yote itaishia sebuleni na vyumbani iyo nyumba itakua kero maisha yake yote.
Hawa ni wale wanachagua ramani mtandaoni au wananunua za mitaani bila kumpeleka mtu site au kumuonesha block na plot zinavyoonekana .

Bila shaka watajifunza sasa
 
mkuu ndo maana tunashauriwa kabla ya kununua ramani mitaani na kuanza ujenzi, mchukue mchora ramani mpeleke kwny kiwanja moja ya vitu atakavyoviangalia ni jua linachomoza na kuzama wapi, lengo ni kujua mpangilio wa vyumba, sebule na vyoo vikaaje ili kuepusha icho ulicho kisema pamoja na hali ya joto na baridi ktk nyakati tofauti za kila siku. Ukinunua ramani kienyeji inaweza isiendane na mazingira ya kiwanja chako mfano choo kuwepo kunakotokea upepo harufu yote itaishia sebuleni na vyumbani iyo nyumba itakua kero maisha yake yote.
la msing fanya plan uwe ma choo cha nje kizuri weka quality sink basin shower tiles saf kabisa.fubga public ya ndan.watot wagen na members wengin wot nje hata wewe mwenyew ubakua free

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
Wafanya tukio wasiwe wanatupia pale juu, mzigo uingie moja kwa moja kwenye shimo yani maji.

Au mchana kitumike choo cha nje.
 
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
Chumba cha choo kinapokuwa na eneo finyu, mgandamizo wa hewa huwa mkubwa na hutoka kupitia penyo za mlango wa choo au pindi mlango unapofunguliwa.
Hivyo
1. Urefu wa chumba cha choo kutoka dirishani mpaka mlangoni angalau uwe mita 2.5
2. Saizi ya dirisha la chooni isipungue kimo cha mita 0.8 au sentimita 80. Ulalo ni mita 0.8 au zaidi
3. Hakikisha mlango wa choo hauna penyo pale unapofungwa
4. Kama hakuna sababu ya kufunga dirisha la choo ni vema likabaki wazi muda wote. Hapa mtu akijisaidia, atakuta tayari kuna hewa safi ya kutosha kwenye chumba cha choo ambayo itameza hewa chafu atakayo izalisha
5. Kwa hewa chafu inayorudi kutoka kwenye shimo la maji taka, ventilation pipe ni muhimu.
Pia zipo bomba za maji taka zenye gate valve isiyoruhusu hewa chafu kurudi kwenye choo (ukiflashi, gate valve inafunguka kuruhusu uchafu kupita baada ya hapo inajifunga kuzuia hewa chafu isirudi)
.
Kwa leo ni hayo tu
 
Chumba cha choo kinapokuwa na eneo finyu, mgandamizo wa hewa huwa mkubwa na hutoka kupitia penyo za mlango wa choo au pindi mlango unapofunguliwa.
Hivyo
1. Urefu wa chumba cha choo kutoka dirishani mpaka mlangoni angalau uwe mita 2.5
2. Saizi ya dirisha la chooni isipungue kimo cha mita 0.8 au sentimita 80. Ulalo ni mita 0.8 au zaidi
3. Hakikisha mlango wa choo hauna penyo pale unapofungwa
4. Kama hakuna sababu ya kufunga dirisha la choo ni vema likabaki wazi muda wote. Hapa mtu akijisaidia, atakuta tayari kuna hewa safi ya kutosha kwenye chumba cha choo ambayo itameza hewa chafu atakayo izalisha
5. Kwa hewa chafu inayorudi kutoka kwenye shimo la maji taka, ventilation pipe ni muhimu.
Pia zipo bomba za maji taka zenye gate valve isiyoruhusu hewa chafu kurudi kwenye choo (ukiflashi, gate valve inafunguka kuruhusu uchafu kupita baada ya hapo inajifunga kuzuia hewa chafu isirudi)
.
Kwa leo ni hayo tu
Asante sana mkubwa
 
Suluhisho
1.kama hujafunga gypsum fanya uweke gypsum
2.tiles za ukutani fanya zifike juu,zaidi ya nusu ya ukuta wa chooni (kwa ndani)
3.fundi aseti tena pitroit/elbow ya sink ikae vzur
4.Kama uliset bomba moja kwa moja ipelekayo mzigo kwenye sink, weka chemba yenye bomba ndefu,itasaidia kupunguza harufu.
5.Mlango wa toilet uwe wa panel mzito,hakikisha hakuna mianya ya kutoa sauti toka toilet kwenda maeneo mengine.
 
Maisha yangu yote natumia choo cha ndani
hata kama fundi alitumia kanuni zote za ujenzi

Vitu hivi viwili kimoja kikikosekana na kimoja kikiwa hakifanyiki tegemea harufu mbaya

kama choo kilikosekana DIRISHA kubwa ambalo litakuwa linatoa na kuingiza hewa safi tegemea halufu kurudi sebureni
hii inatokana na kasumba ya choo kujengewa kidirisha tu kadogo n ukutwe kanafungwa muda wote
DIRISHA LA CHOONI linatakiwa liwe wazi muda wote sio linafungwa na vioo masaa 24

kusukuma kinyesi au hata mkojo na maji mengi
Nyumba niliyopanga sasa hivi haina mfumo wa kufrash mimi na familia yangu sheria ukikata GOGO lazima usukume na maji Ndoo ya lita 5 mpaka uhakikishe KINYESI chote kiondoke
hata akija mgeni si mstaarabu huwa naenda kufarsh mwenyewe au mkewangu najua wengine ustaarabu ZERO au mazoea ya vyoo vyao vya kulenga
Kikubwa ni usafi tu
 
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
Weka choo cha kukaa. Weka ile 'perfume' inayoitwa air freshner.
 
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
Weka airfreshner chooni,ili unapomaliza kujisaidia kama choo kipo karibu na sitting room uipulizie ya kutosha,pia usikimbilie kutoka huko ndani,vuta muda kidogo angalau harufu ipungue itasaidia.Hivi hata wale wenye hela zao huwa wakitoka kunakuwa na harufu kali au ni sisi walala hoi ndio inakuwa balaa....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom