Mnada....!!!

OGOPASANA

JF-Expert Member
Apr 30, 2009
262
144
1 - Sony BRAVIA LCD Flat Screen TV (INCH 32'') - Tsh 900,000.00

2 - Whirlpool 2 Doors Fridge - Tsh 400,000.00

3 - Super General SGW 626T Washing Machine - Tsh 500,000.00

4 - Kabati ya vyombo size ya kati (iliyonunuliwa dukani) - Tsh 250,000.00

5 - Kabati ya kupanga vitabu (iliyonunuliwa dukani) - Tsh 920,000.00

6 - Super General SGC 5470 4 Burners Gas Stove with oven and griller - Tsh 500,000.00

7 - Sofa ya watu 3 (kitambaa cha pundamilia) yenye mito midogo 6 - Tsh 250,000.00

8 - Meza ya sebuleni ya kioo - Tsh 200,000.00

9 - KenWood Music System Radio yenye spekers 4 kubwa - Tsh 400,000.00

10 - Kabati la sebuleni kwa TV, Radio na kuweka vitu vingine (iliyonunuliwa dukani) - Tsh 500,000.00

11 - DELL Latitude D 620 Laptop - Tsh 400,000.00

12 - TV 2 (zenye chogo) (zote INCH 21'') - Tsh 400,000.00

13 - Modern Mini Multi media Projector - Tsh 1,000,000.00

14 - King Size Bed (vya hotelini) yenye vikabati 2 vidogo pembeni (futi 7 kwa 6) - Tsh 500,000.00

15 - Dressing Table - Tsh 250,000.00

16 - Meza ya kupigia pasi yenye kijikabati kwa chini (iliyonunuliwa dukani) - Tsh 180,000.00

17 - Complete Dell Flat Screen Desktop (inch 19 monitor) - Tsh 400,000.00

18 - GX 100 Toyota CRESTA ( T 850 BSJ ) - Tsh 7,500,000.00

19 - Kabati kuubwa la nguo - Tsh 500,000.00

NB: - Vitu vyote vipo nyumbani kwa mmiliki na vingi vimenunulia miezi mitatu iliyopita, kwa bahati mbaya au nzuri amepata safari ya kimasomo nje kwa miaka mitatu na anategemea kufanya kazi huko huko, ndo maana amechukua uamuzi wa kuviuza.
- Bei zilizoorodheshwa hapo juu hazishuki wala kupandishwa.
- Vitu vipo maeneo ya victoria

Contact:

0713 633 969
 
mkuu hi ni toploda na ni kg ngapi Super General SGW 626T Washing Machine - Tsh 500,000.00
 
kama bei hazishuki wala kupandishwa mnada unapigwa vipi? I thought mnada ni highest bid anapewa?
 
Sasa unakosea kuita mnada,
ungesema tu 'vitu vinauzwa'.
Kiswahili kigumu sana kwa kweli.
 
1 - sony bravia lcd flat screen tv (inch 32'') - tsh 900,000.00

2 - whirlpool 2 doors fridge - tsh 400,000.00

3 - super general sgw 626t washing machine - tsh 500,000.00

4 - kabati ya vyombo size ya kati (iliyonunuliwa dukani) - tsh 250,000.00

5 - kabati ya kupanga vitabu (iliyonunuliwa dukani) - tsh 920,000.00

6 - super general sgc 5470 4 burners gas stove with oven and griller - tsh 500,000.00

7 - sofa ya watu 3 (kitambaa cha pundamilia) yenye mito midogo 6 - tsh 250,000.00

8 - meza ya sebuleni ya kioo - tsh 200,000.00

9 - kenwood music system radio yenye spekers 4 kubwa - tsh 400,000.00

10 - kabati la sebuleni kwa tv, radio na kuweka vitu vingine (iliyonunuliwa dukani) - tsh 500,000.00

11 - dell latitude d 620 laptop - tsh 400,000.00

12 - tv 2 (zenye chogo) (zote inch 21'') - tsh 400,000.00

13 - modern mini multi media projector - tsh 1,000,000.00

14 - king size bed (vya hotelini) yenye vikabati 2 vidogo pembeni (futi 7 kwa 6) - tsh 500,000.00

15 - dressing table - tsh 250,000.00

16 - meza ya kupigia pasi yenye kijikabati kwa chini (iliyonunuliwa dukani) - tsh 180,000.00

17 - complete dell flat screen desktop (inch 19 monitor) - tsh 400,000.00

18 - gx 100 toyota cresta ( t 850 bsj ) - tsh 7,500,000.00

19 - kabati kuubwa la nguo - tsh 500,000.00

nb: - vitu vyote vipo nyumbani kwa mmiliki na vingi vimenunulia miezi mitatu iliyopita, kwa bahati mbaya au nzuri amepata safari ya kimasomo nje kwa miaka mitatu na anategemea kufanya kazi huko huko, ndo maana amechukua uamuzi wa kuviuza.
- bei zilizoorodheshwa hapo juu hazishuki wala kupandishwa.
- vitu vipo maeneo ya victoria

contact:

0713 633 969

mkuu huu ni mnada au gulio. Ni lini mnada ukawa na bei? Utakuwa umekosea kuandika nazani, hii ni gulio
 
i think these are indicative prices or may be this is the starting price and the highest bidder wins
 
i think these are indicative prices or may be this is the starting price and the highest bidder wins
Mkuu hujamsoma huyu jamaa vizuri,Anadai ''bei haishuki wala kuongezeka''.So these are neither indicative prices, nor minimum prices.They are ''fixed'' prices
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Mkuu huu sio mnada labda ungebandika tangazo la Sale Sale Sale, watu wangekuelewa vizuri! Mnada wowote lazima uwe na bei za ushindani
 
Hivyo vitu si umeshavitumia wewe?umevitumia kwa miaka mingapi?katika bei zako umeconsider depreciation au unauza kwa kubuni?mfano hiyo tv kama umetumia zaidi ya miaka mitatu inabidi uscrap au ugawe bure,halafu hujatueleza kama hizo bizaa zako ni za kichina,kibongo au wapi?
 
Mkuu hujamsoma huyu jamaa vizuri,Anadai ''bei haishuki wala kuongezeka''.So these are neither indicative prices, nor minimum prices.They are ''fixed'' prices

mkuu nimekusoma

i declare my comment to be null and void

thanks
 
Naomba mnisamehe kwa wale wenye uwezo wa kujua lugha, ninaweza kusema kuwa hivyo ni orodha ya vitu vinavyouzwa, na hadi bei hizo zimetolewa hapo, ni kwamba vimeshathaminishwa na kushushwa kulingana na ubora na thamani yake.
 
Naomba mnisamehe kwa wale wenye uwezo wa kujua lugha, ninaweza kusema kuwa hivyo ni orodha ya vitu vinavyouzwa, na hadi bei hizo zimetolewa hapo, ni kwamba vimeshathaminishwa na kushushwa kulingana na ubora na thamani yake.
Lakini hiyo ''username'' yako mbona kama inatutahadharisha tuogope sana?Ni vitu halali kweli?Au hakuna uhusiano wowote na hivyo unavyouza?
 
tv la chogolaki nne? hahaha
haya madude hata madukani hayapo ww unauza bei hiyo hapo? lol
 
Back
Top Bottom