Mna uhakika hawa ni JWTZ?

Mna uhakika hawa ni JWTZ?

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
1,384
Reaction score
2,081
Nimepita Kigogo roundabout jioni ya leo nimeona hawa JW ni vijana wadogo wenye ndevu.

How comes?

Je, ndo maana wengine wanavaa mask kuficha sura zao tusijue kuwa hawa ni UVCCM?

Kwa nini jeshi linachezewa hivi?
 
Nimepita Kigogo roundabout jioni ya leo nimeona hawa JW ni vijana wadogo wenye ndevu. How comes? Je, ndo maana wengine wanavaa mask kuficha sura zao tusijue kuwa hawa ni UVCCM? Kwa nini jeshi linachezewa hivi we Mkunda? Au kwenye jina lako hustahili irabu an ila u tupu?
UVCCM wanavalishwa combats, Samuya must be removed.
 
Nimepita Kigogo roundabout jioni ya leo nimeona hawa JW ni vijana wadogo wenye ndevu.

How comes?

Je, ndo maana wengine wanavaa mask kuficha sura zao tusijue kuwa hawa ni UVCCM?

Kwa nini jeshi linachezewa hivi?
Kapicha ka huyo bwana mdogo aliyetinga gwanda na ndevu.
 
POLISI WENYE RASTA WAMEKUWA WENGI JE MAADILI IKO HVYO?
Hao wapo muda tu shida ni kukalili na kujifungia sehemu moja mm nmewashuhudia toka enzi ya magufuli huku mipakani tuliko sisi wanajeshi wana rasta wana ndevu had wengne wana tatuu na ukiwaona huwezi kuwadhania ni hayo
POLISI WENYE RASTA WAMEKUWA WENGI JE MAADILI IKO HVYO?
Mfano wilaya ya masasi alikuwepo afisa upelelezi ana rasta Marley akasome
 
Nimepita Kigogo roundabout jioni ya leo nimeona hawa JW ni vijana wadogo wenye ndevu.

How comes?

Je, ndo maana wengine wanavaa mask kuficha sura zao tusijue kuwa hawa ni UVCCM?

Kwa nini jeshi linachezewa hivi?
Hao siyo JW hao ni vijana ambao walikuwa wanapewa mafunzo ya kijeshi kila wilaya wakiitwa jeshi la akiba ndio hao kila wilaya nchi hii kipindi cha kampeni hawa vijana walikuwa wanapewa mafunzo ya kijeshi chini ya usimamizi wa wakuu wa wilaya ndio hao wamebadilishwa tu mikoa na silara walizopewa ni zile za Abdul
 
Kama vipi Gen Z watuchukue sisi askari watiifu wa jeshi la akiba (askari Mgambo) ili tuwasaidie. Maana mpaka muda huu hatuko upande wowote ule.
 
Back
Top Bottom