Mmu!!

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,709
Hii ni kwa wote tunaotumia hili jukwaa!Hivi kwa mfano akatokea mtu mmoja kule Chile anajua kiswahili vizuri,akafungua JF na kuja hapa kwenye jukwaa hili,hizi mada zote zilizoko humu zinaendana na jukwaa?Pili michango tunayotoa iko ndani ya mada?Hiyo michango itamfanya ajue uwezo wetu wa kufikiri,atagundua nini?Yaani michango yetu imawakilisha watu walio karne 21?Atatutazamaje na ataionaje Tanzania katika suala zima la kutatua na kupambana na changamoto za kijamii?Maana sisi tulioko humu tunaiwakilisha nchi,namna tunavyotoa mada na kuchangia ndo tunajieleza namna tunavyofikiri na kuyaona mambo!TUJIULIZE!
 
Eiyer
mambo vipi ..

kwanza ningependa kusema hatuwezi
ku control mawazo ya mtu.. Huyo wa Chile
anaweza aingie huku akasoma kitu acha maana
sana na akakidharau au anaweza soma kitu cha
kijinga akacheka na kukipenda..

Mbili tunavyojibu poster hapa hatujibu ajili
ya mtu wa Chili bali tunajibu poster kutokana
na swali hatuko hapa kufurahusha wengine bali
kutoa majibu na ushauri kadiri ya uwezo wetu..

tatu kila mtu huku ni tofauti kuna wenye
akili sana na experience nyingi za maisha
na kuna wengine ndio wanabaleehe kwa
hiyo majibu yao na michango lazima yatakuwa
tofauti sana..

nne ndio kuna michango ya 21st century
( kizazi kipya) na kuna wale wa 1947
ambao ukisoma poster zao nyingi hazina
milipuko... sasa huyo mtu wako wa Chile
ni wa Karne ipi??

tano ni kweli tunawakilisha Nchi yetu hapa
lakini si kila mtanzania ni Perfect .. lazima
kutakuwa na makokorocho... Kwa hiyo
na huyo Mchile anatakiwa agundue hilo kama
yeye ana busara na am treat kila mtu individual

Nway baadaye
samahani kwa maandishi mengi ..
 
tc up to dat persson either to tek or to leave!u knw y?coz hata facebuk kuna wanaoongea pumba na kuna wanaoongelea serious thingz!...
 
Eiyer mambo vipi ..kwanza ningependa kusema hatuwezi ku control mawazo ya mtu.. Huyo wa Chileanaweza aingie huku akasoma kitu acha maanasana na akakidharau au anaweza soma kitu cha kijinga akacheka na kukipenda..Mbili tunavyojibu poster hapa hatujibu ajiliya mtu wa Chili bali tunajibu poster kutokana na swali hatuko hapa kufurahusha wengine bali kutoa majibu na ushauri kadiri ya uwezo wetu..tatu kila mtu huku ni tofauti kuna wenye akili sana na experience nyingi za maishana kuna wengine ndio wanabaleehe kwa hiyo majibu yao na michango lazima yatakuwatofauti sana..nne ndio kuna michango ya 21st century ( kizazi kipya) na kuna wale wa 1947 ambao ukisoma poster zao nyingi hazina milipuko... sasa huyo mtu wako wa Chileni wa Karne ipi??tano ni kweli tunawakilisha Nchi yetu hapalakini si kila mtanzania ni Perfect .. lazima kutakuwa na makokorocho... Kwa hiyo na huyo Mchile anatakiwa agundue hilo kamayeye ana busara na am treat kila mtu individual Nway baadaye samahani kwa maandishi mengi ..
Useful Comment!
 
Unajua jf ina member wangapi?na unajua tz ina wananchi wangapi?huyo mchile akitujudge watanzania kwa ujumla kwa kuangalia tunachokipost humu jamvini atakua amekosea.
 
Kumbe watu wanawakilisha nchi humu?!Mi hata kabila siwakilishi...najiwakilisha mimi mwenyewe kama Bhoke!Heeheheh...weekend njema!
Kama vile mi navyowawakilisha wajukuu zangu!
 
Afro nimetoa changamoto,sijasema mada na michango haifai ila ninataka tujiulize,tukijiuliza tunaweza kuboresha zaidi jukwaa hili,thanx anyway!
 
Dr.Chichi Chile nimetumia kama mfano wa changamoto yangu tu ili tuweze kujaribu kufikiri atakapotembelea jukwaa hili nini kitaenda akilini mwake?Pia sijasema humu watu wanaongea pumba!
 
Lizzy faham kuwa unachoandika humu kinawakilisha unachowaza,kama kinawakilisha unachowaza mtu yoyote duniani anaweza kuyaona mawazo yako kupitia ulichoandika,na pia kama wewe ni mtanzania anaweza kupata idea kuwa watanzania wana mtazamo gani kwenye masuala ya mahusiano kupitia wewe!
 
Lizzy faham kuwa unachoandika humu kinawakilisha unachowaza,kama kinawakilisha unachowaza mtu yoyote duniani anaweza kuyaona mawazo yako kupitia ulichoandika,na pia kama wewe ni mtanzania anaweza kupata idea kuwa watanzania wana mtazamo gani kwenye masuala ya mahusiano kupitia wewe!
Sidhani...nnapoandika siwakilishi nchi...kabila...ukoo wala familia yangu.Mawazo ya watu wachache hapa haiwezi kuwekewa lebo ya taifa!
 
Mambo tunayoyajadili ni yale yanayoendana na mazingira yetu halisi,maisha ya kila siku,tungezungumzia vipi vitu vya huko chile wakati hayaendani na mazingira yetu?Kwenye ushauri unatoa ushauri wako,kwenye maoni unatoa maoni yako na sio kumridhisha mtu flani.Kama atatutafsiri vingine atakuwa hajielewi maana hayaendani na mazingira yake,sasa we unataka tujadili kuhusu mambo ambayo hatuendani nayo?basi huo ni utumwa wa mawazo.
ILA HERI TUTUMIE LUGHA ZINAZOELEWEKA,KAMA MTU AMEAMUA KUANDIKA KISWAHILI IWE YA KUELEWEKA NA SIO KUCHANGANYA NA ENGLISH ZA AJABU.VIFUPISHO HIVI VYA ENGLISH WATU WANAJIBUNIA TU VINAKERA,VINABOA NA KUPOTEZA MAANA HALISI.
 
pole kumbe wakwanza kuonekana mbumbumbu ni wewe mana umeiweka thread zako sehemu sio pole sana kijana ha,ha,ha,ha,haa
 
JF kwa ujumla hata kama inawakilisha watanzania basi mjue watanzania hao ni wenye sifa zifuatazo:-
>>>>Wanaojua kutumia kompyuta (na smartfones 4that matter)
>>>>Wanaojua Kiingereza kwa kiasi fulani (walau wajue delete, post, reply na maneno mengine yanaoyotumika katika kompyuta na JF in particular)
>>>>Wenye uwezo wa kumiliki simu za kisasa, kompyuta au fedha japo kiasi kidogo kuweza kupata huduma ya Internet.
>>>>Wenye muda na nafasi japo masaa kadhaa kwa siku kukaa sehemu moja na kutulia wakitumia huduma ya mtandao.
Kwa sifa hizi na nyingine chache zilizosalia unaweza kujua unapozungumzia uwakilishi wa watanzani kupitia MMU una uhalali wa kiasi gani. Just a thought!
 
Exellent nashukuru kwa mawazo yako lakini sijasema tuwakilishe mawazo ya Chile ila nilichokuwa nasema kuwa tuwe makini kwani tunajiwakilisha na tunawawakilisha watanzania,huyo mtu wa chile atajua watu wa Tz wanauwezo gani wa kufikiri kupitia haya tunayoandika humu!
 
Back
Top Bottom