Kuabudu ni kufanya Ibada.....
Inamaana Mzee Ruta watu humu MMU wameacha kumuabudu Mungu wao wanaabudu NGONO au?
Mmmmh basi kusaidia watu wasiendelee kuabudu Ngono tuwaombe walioliweka jukwaa la MMU waliondoe.
Halafu sasa na wale kule kwenye Siasa nao si watakuwa wanaabudu SIASA? Na lenyewe liondolewe au?
Mmmmh Naona na mimi sijaelew vizuri hi.