Itabidi tupitie j'burg.,. SA inahusu sana...lolpoa, chagua airline KQ?Emirates? Qatar?Air Oman?Air Zimbabwe? SA?(tupitie j'burg tukale kuku kidogo),Air Malawi via Lilongwe?Egyptair?
Sema tu!!!!!
ziko mbinu nyingi bana za kumchinja kuku,we mwaga tu uzi wako tupate maujuzi.Nasikitika si polepole! Kinisikitishacho nilikua naishi jirani na Mch. Mtikila then nikahama, kwani angenisaidia mbinu za kumpeleka mtu mahakamani kwa allegation ya "dhana tu" (yaani ukimhisi tu mtu kakuibia na huna ushahidi unafanyajefanyaje hiyo ingenisaidia nikam'buruza Bishanga mahakamani kwani nahisi kaniibia ider yangu ya huo uzi anaotaraji kuushusha, basi potelea mbali mi nita'flow na title : "ukimtaka kumtongoza mume wa mtu tumia mbinu hizi....."
Mkuu wanamapinduzi wengi damu zao huwa zinachemka,si unaona Fidel Castro hadi na kuoa ilishindikana shauri ya mwili wake kuchemka sana.
anyway tuombee sisi wenye zambi.
sawa Mkuu,basi ngoja tutafunetafune twa mwisho kabla ya dec,31st ili mwaka mpya ukianza tuwe clean kabisa.We TF na genge lako umesikia azimio hili,2012 no infiiiiiiiiii, okei??????Mkuu,
Tunataka sasa tuwe na wanamapinduzi wa karne hii ya dot com..ili tupunguze hata vyeo na zile shahada za kupitia makao makuu!!
Halafu wewe.....hiyo kitu haiwezi kuwa na addiction kiasi kwamba kuna watu wamekuwa mateja....Tunaweza kujaribu kuprove kama hilo ni kweli au la 2012!!
Ha ha ha! Unajua ndio mana niliamua kumpiga chini TF nkajihamishia kwa klorokwini...
We uliona wapi mwanaume kila siku yuko na swaga za 'baby plz recharge me'.!! Ndio tabia za TF hizo, anaomba vocha huyo we acha tu Bishanga. Husn kaula wa chuya tena mchana kweupe..
Yarabiiiiiiiiiiiiii Tobaaaaa......
hadi ifike dec,25th watakuwa wameshaachana hao!Nawatakia kila la kheri, msalimie shemeji langu uporoto.
Mwambie X'mass natarajia kuwa mgeni wenu yale mahanjumati mlonipikia kwenye eid nimeyakumbuka sana... Gauni ntalituma kesho kwa dar xprec!
Sizinga hili la ahera nshalisemea siku nyingi,it is between me and my Maker,nobody else can judge me,na hii principle applies kwa kila mtu.
Turudi kwenye mada,nami nakutakia a happy festive season.
iko siku atatokea mjanja afanye hivo kisha ushtukie kona ya maktaba mtu anauza kijarida kimeandikwa 'simulizi za Kongosho kwenye jf',halafu mi nahisi siku si nyingi jambo kama hilo kutokea,mijizi kwa ubunifu we acha tu.hivi hatuwezi uchapisha
tukaongeza na vionjo vya katuni
tukasambaza kwa wakala wa mauzo
naomba kuwa scrpt director kitengo cha katuni
Kongosho nikikupa hizo na hio aggressive nature of yours ndani ya miezi mitatu uchumba, ndoa, mimba....hahahahah!
naam ili tufunge mwaka vizuri.Eliza wa tegeta kanipigia kanambia anaandaa part two ya 'mkome kuPM waume zetu usiku wa manane'.Duh! Mi ntakuwa msomaji tu na mchangiaji. Haya wale ambao ziko tayari waziweke maana siku nazo zinayoyoma, tuanze kuzisoma mapemaaaaaaaaaa na hivyo tena kigezo kimojawapo ni lazima ZIWE PASUA KICHWA l.o.l
si unaona hata mavituzzz ya babu Mandela,mpaka mke wa rafiki yake kavuta?Ila kweli unajua akili za juu zikiwa nyingi na za chini zinakuwa nyingi
msianze oooh mbona fulani hana za juu ila anazo za chini, huyo ni exceptional case
Nikitoka kidogo tu wajuba mko busy kuharibu CV yangu....Ha ha ha! Unajua ndio mana niliamua kumpiga chini TF nkajihamishia kwa klorokwini...
We uliona wapi mwanaume kila siku yuko na swaga za 'baby plz recharge me'.!! Ndio tabia za TF hizo, anaomba vocha huyo we acha tu Bishanga. Husn kaula wa chuya tena mchana kweupe..
Dahh!!! Hawa bwana hawa...kumbe wewe ni mkware.............duh!!?
Ngoja nirudi zangu kwenye 'wazee wetu wa kariakoo'
huku kwa wakware sipawezi mimi.
Mimi nitashusha maandiko matakatifu yanayokemea dhambi ya uzinzi na tamaa ,maana na ona humu jukwaani washabikia uzinzi ni wengi sana. wachungaji wote humu naomba mnisapoti. Nataka tufunge kwa maombi na Neno La MUNGU