umesahau tena shemeji zako?henken ndo national drink ya wahaya bana,sisi tunakunywa ile kitu imelipiwa import duty,haya mambo ya bia za kusambaziwa kweli mascania tunawaachia kina kaizer na aspirin.
nakuja,niwekee kidogo,ukimwona former miss tanzania mmoja ambae anapenda kuja hapo (name withheld) mwambie tajiri bishanga anamsalimia na yuko bize bandarini ana clear li S600 lake,brand new from stutgart.
umesahau tena shemeji zako?henken ndo national drink ya wahaya bana,sisi tunakunywa ile kitu imelipiwa import duty,haya mambo ya bia za kusambaziwa kweli mascania tunawaachia kina kaizer na aspirin.