Angelicious
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 869
- 499
Angelicious njoo parokiani chap chap sana achana na huyu #teambazazi
Asante mtumishi nitakuja nipe ratiba kabisa za ibada na maombi
Last edited by a moderator:
Angelicious njoo parokiani chap chap sana achana na huyu #teambazazi
sina hayo.. huyo kanisonya msonyo wa haja!!! msonyo ambao kwa mkurya ni dharau kubwa saaaaaana!
halafu kwa kunionesha dharau zaidi, kakimbilia kwa mwanaume ambae ni adui yangu kabisa!
Angelicious sitaki kuona miguu yako hapa! hiyo parokia ikuoe na ikuzalishe...! thank GOD we were not approved!
ha!ha!ha!haaa!meipenda hyooHebu acha kumtisha kigori wangu. Ebo! Dushe langu halitishiwi nyau. Ukiliombea njaa natafuta mkuyati. Ha!ha!haa.
ha!ha!ha!haaa ukiona manyoya ujue kashaliwa huyoo!Angelicious njoo parokiani chap chap sana achana na huyu #teambazazi
ha!ha!haa my X hubito Window7 come and see by yoself hki kibuti hataare.nimewaambieni mumuoe huyo Angelicious! simuhitaji kwangu! thats my law...! and nobody should cross over it!
wifi kushnehi tayariAsante mtumishi nitakuja nipe ratiba kabisa za ibada na maombi
ha!ha!haaa na kiburi kishaanza mwe! usijal wifi angu Angelicious mi ndo mwenyeki wa watalaka njoo kwenye register buk kiingilio mia tano tuanzishe chama cha vikoba.We sema ulikuwa una yako si nilikuomba msamaha? Loh!! Mwanaume wewe una gubu kama ndugu wa mume
sikukomeshi wewe bhana ila huyo zilipendwa Window7!!ngoja nikuitie we wifi Angelicious unaitwa na Excel huku mbona hvyo ah!
Excel na wewe usizuge uckute umemwona mgeni ndo unatafta sababu mwone kwanza wifi njoo tulianzishe huku.[/QUO
Abee wifi naona umeniita nimekuja kuna nini hapa huyo kaka yako analalama nini?
ha!ha!haaa na kiburi kishaanza mwe! usijal wifi angu Angelicious mi ndo mwenyeki wa watalaka njoo kwenye register buk kiingilio mia tano tuanzishe chama cha vikoba.
anasema kilichokupeleka parokiani ki2 gan?kama hela anakupa,dushe mpaka unakinah tatizo nini hayo maumbi wifi Angelicious au kuna jipya?sikukomeshi wewe bhana ila huyo zilipendwa Window7!!ngoja nikuitie we wifi Angelicious unaitwa na Excel huku mbona hvyo ah! Excel na wewe usizuge uckute umemwona mgeni ndo unatafta sababu mwone kwanza wifi njoo tulianzishe huku.[/QUO Abee wifi naona umeniita nimekuja kuna nini hapa huyo kaka yako analalama nini?
tobaa mimi tena nifanye mpango Window7 mbona bazazi hvyo jaman haya njo piemu haraka useme una sh ngap fasta nrekebishe mie ikishndikana kama kawa.Sasa mtalaka hebu anza kunifanyia mpango kwa Angelicious.
Window7 #Teambazazi .Achana nae huyo shemeji. Mtoto mzuri kama wewe hupaswi kua na huyo mkurya kila siku mangumi. Njoo huku upepo unakoanzia upumzike.
anasema kilichokupeleka parokiani ki2 gan?kama hela anakupa,dushe mpaka unakinah tatizo nini hayo maumbi wifi Angelicious au kuna jipya?
Kwani wifi mtu kwenda kwenye mkesha parokiani kuna ubaya?