J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
ha!ha!haaa duh!haya bhana.mi na mpira wapi na wapi!
ha!ha!haaa duh!haya bhana.mi na mpira wapi na wapi!
sikukomeshi wewe bhana ila huyo zilipendwa Window7!!ngoja nikuitie we wifi Angelicious unaitwa na Excel huku mbona hvyo ah!
Excel na wewe usizuge uckute umemwona mgeni ndo unatafta sababu mwone kwanza wifi njoo tulianzishe huku.
ha!ha!haaa duh!haya bhana.
saasa mura hapo maama bhoke amekosea mura!ungempiigha kibao cha kerebu!!ila nliona ka kakuomba msamaha vile au nimekosea?sina hayo.. huyo kanisonya msonyo wa haja!!! msonyo ambao kwa mkurya ni dharau kubwa saaaaaana! halafu kwa kunionesha dharau zaidi, kakimbilia kwa mwanaume ambae ni adui yangu kabisa! Angelicious sitaki kuona miguu yako hapa! hiyo parokia ikuoe na ikuzalishe...! thank GOD we were not approved!
saasa mura hapo maama bhoke amekosea mura!ungempiigha kibao cha kerebu!!ila nliona ka kakuomba msamaha vile au nimekosea?
yaale yale ndoa sasa imekuua ndoano!! ila pole ngoja aje hapa atakiöna cha mtema kuni.
naipenda sana BARCELONA FC sana toka enzi za Etoo na Gaucho!we mshabiki wa tim gani vile?
kwani nani huyo lakini?msamaha? msamaha wakati kakimbilia kwa mtu ambae nina uadui nae? kama kaja kuniletea sumu ndani? aisee niko tayari kuishi mwenyewe...!
naipenda sana BARCELONA FC sana toka enzi za Etoo na Gaucho!
kwani nani huyo lakini?
he!he!he!hee Kyabakari FC.aaargh! mi timu yangu bado iko ngazi ya kijiji.. so nasubiri ipande..
maamaaa!kumbe hao mabazazi kubali yaishe tu ndugu yangu ishakua siri ya ndani tayari.si haya yanayojiita maparoko! nimesema akae huko huko!!! ntamcharanga fimbo akijichanganya!
he!he!he!hee Kyabakari FC.
ha!ha!ha!haaa viita ni viita mura!ndo hiyo! staki stress mimi! nikishashika panga langu, uwanjani huyoo! badae narudi home..
thanks jaman ujue the day unaniacha nliwapa shida sana Excel n Angelicious nlizimia almost mara 3 nkalazwa n all that bt thanks to baba paroko Kaizer aliniombea nkawa poa so endelea n life lako let us be friends nimeokoka nw ubazazi tena basi.
si haya yanayojiita maparoko! nimesema akae huko huko!!!
ntamcharanga fimbo akijichanganya!
Kijana tuliza mzuka
Angelicious njoo parokiani chap chap sana achana na huyu #teambazazinimewaambieni mumuoe huyo Angelicious!
simuhitaji kwangu!
thats my law...! and nobody should cross over it!
nimewaambieni mumuoe huyo Angelicious!
simuhitaji kwangu!
thats my law...! and nobody should cross over it!
nimewaambieni mumuoe huyo Angelicious!
simuhitaji kwangu!
thats my law...! and nobody should cross over it!