MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

yani unammention mke wa mwanaume mwenzio kwa ufasaha namna hii?

:A S 13::A S 13::A S 13: ama kweli sikuwa mwenyewe!

guys niko tayari kwenda keko kwa muda! ntang'oa mtu mapu.mbu leo!

hehehehehe...unavojua kuandika jina la DEMBA na vichuna wengine humu waumini halali kabisa unaona sifa eeh//

#kuchapiwanisiriyaNDANI :israel::israel:
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
inabidi umtake radhi paroko wangu
af siku nyingine ushabikiage timu zinazishinda tu..sawa?
paroko??? paroko ndo unatoa kicheko cha kimbea hivyo?
DEMBA huyu ni paroko au ni isha mashauzi au dina marioz au diva? sielewi!

kwa kweli nikuite tu mariam wa migomba !! you deserve a name! Kaizer a.k.a mariam wa migomba!

cc.. mwallu.. Eiyer, Husninyo!
 
waione Eiyer, Angelicious, Window7, mwallu, Husninyo, DEMBA, J.lee, mango g, mwekundu, Mashaxizo, Mtambuzi, Nicas Mtei, lara 1, miss neddy, kiwatengu, KOKUTONA, Heaven on Earth, watu8, charminglady, ladyfurahia (pole sana kwa kupigwa ban dadaangu), measkron, Eli79, Ruttashobolwa, kabanga, karucee, Asprin, Arushaone, Lady doctor, Passion Lady na wengineo watakaoingia hapa bila kutoa comment!!

jamani huyu nae yumo kwenye kundi la mabazazi! anatumia mwamvuli tu jamani!!

mimi nimeokoka kwa muda! ahsanteni!

nimefunga box la PM kwa muda... tutaonana jamani wadau wa MMU!

nawapenda wote!!
Excel jamaa yangu wewe bwana nasisitiza uumungwana sana....
 
Last edited by a moderator:
Excel jamaa yangu wewe bwana nasisitiza uumungwana sana....

ahsante kabanga! huyu paroko bazazi kaja waziwazi na kumzoa tenchy!

basi wamedanganyana na kidem chake mwallu wanafarijiana...! naona wako na my hubby Angelicious...

niko tayari kumwaga damu.... a man dies once as he was born like that.. siogopi parokia, ngoja wajikusanye tu!
 
Last edited by a moderator:
ww hupendi sawa lakini hawa wanambinu nyingi, nilikuwa nakutahadharisha tu...hubby wangu namjua mwenyewe anapenda vidosho sana na anavimbinu vyake vya ubazazi akikubananisha huchomoki...teh teh teh
Ha ha ha asante Demba n cpendi waume za watu hvyo ucjal
 
ahsante kabanga! huyu paroko bazazi kaja waziwazi na kumzoa @tinchy!

basi wamedanganyana na kidem chake mwallu wanafarijiana...! naona wako na my hubby Angelicious...

niko tayari kumwaga damu.... a man dies once as he was born like that.. siogopi parokia, ngoja wajikusanye tu!

tulia basi, andika majina ya watu vizuri.....halafu apo red na bold unataka tukueleweje?

Cc kabanga huyu ndo Muungwana wako

BCC Angelicious for reconsideration of the relationship, tenchy FYIA, Asprin FYI
 
Last edited by a moderator:
hapo nilipobold,hata katika maisha halisi sipendi kuitwa ivo Excel
halafu,sikujua Angelicious ni ''hubby'' wako
ahsante kabanga! huyu paroko bazazi kaja waziwazi na kumzoa @tinchy!

basi wamedanganyana na kidem chake mwallu wanafarijiana...! naona wako na my hubby Angelicious...

niko tayari kumwaga damu.... a man dies once as he was born like that.. siogopi parokia, ngoja wajikusanye tu!
 
Last edited by a moderator:
ahsante kabanga! huyu paroko bazazi kaja waziwazi na kumzoa @tinchy!

basi wamedanganyana na kidem chake mwallu wanafarijiana...! naona wako na my hubby Angelicious...

niko tayari kumwaga damu.... a man dies once as he was born like that.. siogopi parokia, ngoja wajikusanye tu!
ikiwa vipi niite, maana mimi napenda ugomvi.....
 
Back
Top Bottom