MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

hv we windo mzima kwl? niambie mm umeniweka fungu gan? na huyo j.lee na mankam cjui..! ni kna nan kwako?
 
kwanza nina mpango wa kukunyang'anya hawa wake wote watatu!
mango g, J.lee na huyu anaechipukia MankaM!

naanza kampeni rasmi sasa!

eeeehhhh!!!! mbona kama sikuelewi elewi vile mpenzi wa mimi, kwa hiyo unataka uniongezee wenzangu watatu
mmmhhh!!! patachimbika sijazoea kushare ati naanza kuamini huenda na wewe ni TEAMBazazi
 
Last edited by a moderator:
eeeehhhh!!!! mbona kama sikuelewi elewi vile mpenzi wa mimi, kwa hiyo unataka uniongezee wenzangu watatu
mmmhhh!!! patachimbika sijazoea kushare ati naanza kuamini huenda na wewe ni TEAMBazazi

no way mamii! siwezi ongeza mwingine..!

nataka nimkomeshe huyo bazazi anaetaka kuwaua hawa wanawake wenzio!
 
hv we windo mzima kwl? niambie mm umeniweka fungu gan? na huyo j.lee na mankam cjui..! ni kna nan kwako?

Njoo piem ghafla tuweke mambo sawa. Si unajua leo siku ya kazi usije ukanifanya nishndwe kulitumikia taifa buree.
 
Njoo piem ghafla tuweke mambo sawa. Si unajua leo siku ya kazi usije ukanifanya nishndwe kulitumikia taifa buree.
najiua Window7 tena si mimi tu na hiki kiumbe nlichobeba tumboni sumu nageuza kachumbari leo.
 
Last edited by a moderator:
shemeji Excel yamenifika jirani yangu narudi kwetu ngudu mie.
 
Last edited by a moderator:
eeeehhhh!!!! mbona kama sikuelewi elewi vile mpenzi wa mimi, kwa hiyo unataka uniongezee wenzangu watatu mmmhhh!!! patachimbika sijazoea kushare ati naanza kuamini huenda na wewe ni TEAMBazazi
wiifi wifi mwenzako akinyolewa zako tia maji ujue haya tu wavaa model hawatabiriki hawa mi najipanga upya kutafuta mvaa bwanga ohoo.
 
Last edited by a moderator:
wiifi wifi mwenzako akinyolewa zako tia maji ujue haya tu wavaa model hawatabiriki hawa mi najipanga upya kutafuta mvaa bwanga ohoo.

Wife usinifanishe na wavaa modo Hawajui mahabatein. Njoo kwangu bebii. Vp katoto kanaendeleaje hapo tumboni? Nimemis kiss lako
 
Back
Top Bottom