MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

ha!ha!haaa!utaelewa 2 shostito ukiona damu ujue kashachinjwa oh!nakupenda cjui nini kelele nyiingi kiko wap umechwa solemba valentine day cheko lako hilooo!

Hawezi kuniacha Excel wangu najua alibanwa na majukumu
 
Last edited by a moderator:
Wow!! Thanks alot my love, I love you too babe mwaaaaa!!!!!

mwaaa!!! mwaa!! mwaaa!!!! xoxoxoxoxox0xoxooo!!!

thanks a lot sweetheart..!

you love me for real!

 
Last edited by a moderator:
eh!jiran yangu kukukaribisha chakula ndo upige na picha kuleta huku mwee jamaan.

Kwani shida nini wifi yangu??? Mahaba nitoe roho hayo nawe mwambie shem afanye hivyo.... kupendwa ndo huku
 
Hawezi kuniacha Excel wangu najua alibanwa na majukumu



no one like you...

12712,xitefun-lovely-flowers-01.jpg
 
Last edited by a moderator:
Kwani shida nini wifi yangu??? Mahaba nitoe roho hayo nawe mwambie shem afanye hivyo.... kupendwa ndo huku
he!he!heee!sie ye2 kimya kimya watu wazima sie ha2na mahaba ya 4m 2 wifi wee nyie bado wadogooo
 
he!he!heee!sie ye2 kimya kimya watu wazima sie ha2na mahaba ya 4m 2 wifi wee nyie bado wadogooo

Baeleze hao. Sie watu wazima atii. Mambo yetu chumbanii. Wife unanikoshaje wangu. Hebu sema nini nikufanyie waone wivu hawa vijana wadogo.
 
Baeleze hao. Sie watu wazima atii. Mambo yetu chumbanii. Wife unanikoshaje wangu. Hebu sema nini nikufanyie waone wivu hawa vijana wadogo.
aaam!bebi mi naomba next weekend tukapumzike cape town nimemic sana kwenda since our honey moon!!! please bebi say yes 2 yo bebi!
 
jaman j.lee ntakuua ww na windo wako! yan hamna hata haya? mi kukaakimya kidogo2 yamekua haya? mmh kwl ww j.lee una dhiki! sasa nmekujua
 
jaman j.lee ntakuua ww na windo wako! yan hamna hata haya? mi kukaakimya kidogo2 yamekua haya? mmh kwl ww j.lee una dhiki! sasa nmekujua
shogangu niwie radhi wanawake 2ko weng kuliko wanaume ntafanyaje unadhani na we ukisusa wenzio twala shoga we kudenguua wiki 3 nzima nkaona c haba nimtoe ukiwani Window7 nisamehe 2 jaman n we bebi uje utoe maelezo vya kuniaibisha mbele ya majiran cpend cpend kabisaa nasema ntasitisha huduma zote.
 
Last edited by a moderator:
jaman j.lee ntakuua ww na windo wako! yan hamna hata haya? mi kukaakimya kidogo2 yamekua haya? mmh kwl ww j.lee una dhiki! sasa nmekujua


Hapo chachaa..... kumbe huyu J.lee ni binamu kweli nyama ya hamu, mana alijitambulisha kwangu ni binamu wa mpenzi wangu Excel ngamshtukia mapema akasema nisiwe na wasi wasi haya kakugeuka sasa, nawe Window7 kumbe ndo uko hivyo........loh......unapiga huku na huku?
 
Last edited by a moderator:
Hapo chachaa..... kumbe huyu J.lee ni binamu kweli nyama ya hamu, mana alijitambulisha kwangu ni binamu wa mpenzi wangu Excel ngamshtukia mapema akasema nisiwe na wasi wasi haya kakugeuka sasa, nawe Window7 kumbe ndo uko hivyo........loh......unapiga huku na huku?

hahahaaa!!! honey imebidi ianze kucheka mwenyewe!

kumbe kuna watu wanaumbuana tena? Window7 is eating mango g and J.lee together?

dah... nawasubiri nione!!!

hujambo lakini mpenzi wangu wa moyo?
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa!!! honey imebidi ianze kucheka mwenyewe!

kumbe kuna watu wanaumbuana tena? Window7 is eating mango g and J.lee together?

dah... nawasubiri nione!!!

hujambo lakini mpenzi wangu wa moyo?

Miye sijambo sweetheart, wameanza kuumbuana wenyewe ooohh!!! Mapenzi yao ya kiutu uzima....haya kumbe wizi mtupu!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom