MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

toba nimefumwa hapana bebi twende piemu nkakwambie vizuri jamani.

Whaaaaaat??? Ngoja nimtafute kichuna wangu tena kumbe unanidanganya eeh. Hata hyo mimba nahsi fake lete vpimo ghafla bin vu.
 
Ahaa kumbee.... Uzuri ni kuwa hata makombo yanashibisha. Ngoja nifanye super sub.
valentini day uliniacha solemba nkatoa fursa ila kisima cha kale hakifukiwi babu!
 
Nshafika nasubiri utetezi wako. Unambie kabisa na huyo mtoto mnaemzungumzia ni nani.
mbona kuna foleni kwenye piemu yako kuumbe nishajua sasa na mi nimenuna sasa
 
Whaaaaaat??? Ngoja nimtafute kichuna wangu tena kumbe unanidanganya eeh. Hata hyo mimba nahsi fake lete vpimo ghafla bin vu.
noo bebi huyu babu tunakaa nae jirani kijijini anapendaga kweli kuntania tania yani ndo hvyo!
 
noo bebi huyu babu tunakaa nae jirani kijijini anapendaga kweli kuntania tania yani ndo hvyo!

We jitetee tu. Lakini habari ndo ishakamilika. Kakamue majipu huko.
 
Hahahah piga chini huyo aende kufia kwenye Jipu lake.
bebi nakudanganya huyo mzee katumwa na Jipu kutuharibia njoo tulee kiumbe chetu tumekitafuta kwa tabu sana ujue?kumbuka tulipotoka jaman
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom