MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

Nimeenjoy wapi!

Nimelipiga knock out!

Busu gani hilo linakuja kama radi!

Yani buuuum! Papapaaaaaaa paaaarrrr! We mchawi kweli!
Eeenh!

ha!ha!haaaa! lakini c umeenjoy jirani uthidhuge jaman.
 
Hahaha! Mkeo ana matatizo mengi sana!

Especially finacial weaknesses!

Nadhani jana alisaidiwa laki mbili hivi na mama watoto wangu ang...

Utasaidiwa sana matunzo masikini mkubwa ww!

Bahati mbaya sisi hatuna mapenzi ya tar 14. Na kwa taarifa yako leo tunaenda kujiachia na wife J.lee . Utakufa na utamu wako kama mua young boy
 
Last edited by a moderator:
nakuja bebi namalizia kukaanga mahanjumati ule unenepe!utaoga maji ya moto au ya baridi?na niyaweke hiriki kidogo ama mdalasini chagua 2 bebi ucjal panda mgongoni ukaoge!ha!ha!ha!haaaa.

Ooohh mama. Mambo ya Tanga hayoo. Leo naona kamvua kamegoma kunyesha. Niwekee yauvuguvugu nilainishe misuli
 
Nimeshatoka polisi kuripoti abyuz!

Wameniandikia sindano 20 za tetenas hospitalini!

Yani najuuuuuuta kuwasaidia wafipa!

sori bebi imebid 2 huyu c jirani 2 mbona moto 2nampaga jaman!sio vzuri.
 
Bebi.. Being mad is the part of showing true love....

You look more and more extreme romantic when you love me that way!

Come baby....! Let us speak our own language that others cant understand...

I love you my angel!

My love kuna nini kinaendelea hapa? Halafu jana umenichunia nimenuna
 
Bebi.. Being mad is the part of showing true love....

You look more and more extreme romantic when you love me that way!

Come baby....! Let us speak our own language that others cant understand...

I love you my angel!

duh!kashaliwa huyo maskini ya Mungu.
 
Back
Top Bottom