Sasa huyo ana mgongo au ana kifusi cha zege!!
Angalia usije ukajikwaa bana!
Mgongo gani una matuta kama ya zebra crossing?
Sasa bebi utanifanya nipewe redundance kazini. Mambo haya matamu ati.
Kijana!! Last warning..!
Next time nitakusweka jail. My wife achna nae huyu young boy njoo kwa
mtu mzima mwenzio
Ha!ha!ha!ha!ha!ha.. Hana
hela huyo kijna wako. So sad. Ngoja niongee na wife
J.lee tuone tutawasaidia vipi. Siku nyingine
usiende tena kwa hawa serengeti sawa jirani?
sawa bebi ngoja nifanye fasta.Bebi leo maingizo sio mabaya. Pendeza tutoke.. Usisahau kula kale kakungu kako nione jicho lako likiomba site.
bado mama msaada kwenye 2ta kwa jipu jaman.hahahahaaa kwan Jipu hajapatikana wa kumhusudu bado tu
eh!jiran yangu kukukaribisha chakula ndo upige na picha kuleta huku mwee jamaan.kwako mke wangu Angelicious...! nakupenda sana!jipatie kwanza msosi wa maana! jisonsomole mwanawane..!
nakupenda sana mke wangu!![]()
kwako mke wangu Angelicious...!
nakupenda sana!
![]()
jipatie kwanza msosi wa maana! jisonsomole mwanawane..!
![]()
nakupenda sana mke wangu!