J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
Hata me ninae my bebioo
J.lee lakini si unajua tena mboga yakuazima
ndio inayomaliza ugali.
bebi unasemaje?
Hata me ninae my bebioo
J.lee lakini si unajua tena mboga yakuazima
ndio inayomaliza ugali.
Angelicious
hubby wangu... naomba niseme nakupenda sana wangu wa moyo!
hatokaa atokee mingine kama wewe, unless in any circumstance.. I LOVE
YOU ANGEX (kuanzia leo hubby hio ndio trademark yako
kwangu!)
wizi wizi tu!
Nani kakuambia wife yuko Sumbawanga kijana. Hebu jifyate na nisikuone unamsumbua
Nichum bas waone wivu.
Ndio ninapokupendea hapo. Una mapenzi yakikubwa. Come ghafla pm bebii
Nichum bas waone wivu.
umeamkaje jirani yangu?
yani hata salamu huna ndugu yangu?
hujafunzwa huko kwenu sumbawanga?
Hahaha! Mkeo ana matatizo mengi sana!
Especially finacial weaknesses!
Nadhani jana alisaidiwa laki mbili hivi na mama watoto wangu ang...
Utasaidiwa sana matunzo masikini mkubwa ww!
Akuchum? Hatakuachia ulemavu mashavuni kweli?
weee!akat mkeo ndo kaja kuniazima mchango wa kitchen party hapo alipo hata hela ya sare hana umaskini mbaya sana.
mh!si uombe 2 jaman haya Mmmwaaa loh!
Hebu funga mdomo!
We are counting billion of dollars inside.!
Mwanamke gani wewe unatembelea mguu mmoja wakati yote ni mizima?
Huu uchawi sasa...!
Mamamamamaaaaa! Umekata umeme sasa!
Mambo gani haya?
Unachum kama unaiba umeme bana!