MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

jamani si ameniambia yeye ni wifi yangu, sasa nitaachaje kuwa karibu? mbona wanitafutia ubaya kwa nduguzo??
halafu siku mbili tatu uje useme sipendi nduguzo?

mmh.. kuna kitu nilikiona jana kidizain fulani kama nakatwa kwa Window7? hebu niambie huyu mfa maji Window7 ana sema nini kwako?

sita sita kutumia mabom ya machozi kumuondoa mtaani kwangu..!
 
Last edited by a moderator:
mmh.. kuna kitu nilikiona jana kidizain fulani kama nakatwa kwa Window7? hebu niambie huyu mfa maji Window7 ana sema nini kwako?

sita sita kutumia mabom ya machozi kumuondoa mtaani kwangu..!


loh!! punguza wivu husband hamna lolote kwa huyo Window7 hata habari naye sina
kwanza yeye size yake ni hao kina under 20 usiwe na wasi wasi my hubby
 
Last edited by a moderator:
loh!! punguza wivu husband hamna lolote kwa huyo Window7 hata habari naye sina
kwanza yeye size yake ni hao kina under 20 usiwe na wasi wasi my hubby

endelea kujichanganya kwa Window7 uone..! ntamng'oa kucha za vidole mbele yako!

huyu shameless akikuita we mtimulie vumbi tu..!
 
Last edited by a moderator:
he!! kumbe wifi sikujua
wifi yangu mme mwenyewe hajanitambulisha kwa ndugu zake wote, kumbe
naweza kosa
mume hivi hivi

yeh Angelicious wifi angu hajakutambulisha Excel binamu yangu huyoo mwenzio


via take care anythng can hapeni binamu kinyama.....lolz.
 
Last edited by a moderator:
kausha basi, si unaona waifu alikuwa amemaind bana!!

we unafikiri ningemtulizaje pale?

Excel ukitaka yaishe kabisa uje kwangu leo saa 4 ucku kuna panya untolee ndan kwangu ndo yataisha la sivyo nakugeuza ndocha.
 
Last edited by a moderator:
Excel ukitaka yaishe kabisa uje kwangu leo saa 4 ucku kuna panya untolee ndan kwangu ndo yataisha la sivyo nakugeuza ndocha.

aah wapi!! sijawahi ona mkurya anaetishwa kirahisi hivyo!

before you step up, mi ntakuwa nimeshakudondosha zamaaani kwa makofi na marungu..

kwanza, ni mganga gani atakaekubali kuniroga? ni risk sana unajua!
 
aah wapi!! sijawahi ona mkurya anaetishwa kirahisi hivyo!

before you step up, mi ntakuwa nimeshakudondosha zamaaani kwa makofi na marungu..

kwanza, ni mganga gani atakaekubali kuniroga? ni risk sana unajua!

sasa utajua ka mi nimetoka Tanga nakwambia ukiamka asubuh some stuffs zote hazipo na kesho valentine utashnda ndan nakwambia.
 
yeh Angelicious wifi angu hajakutambulisha Excel binamu yangu huyoo mwenzio


via take care anythng can hapeni binamu kinyama.....lolz.

Mmmhh!!! Binamu nyama ya hamu tena lolz.... au ndo mana akajitetea nikae na wewe mbali eti ulitaka kumroga kumbe ana yake. Leo atanitambua hamna unyumba wala nini
 
Last edited by a moderator:
sasa utajua ka mi nimetoka Tanga nakwambia ukiamka asubuh some stuffs zote hazipo na kesho valentine utashnda ndan nakwambia.

tanga? aah wapi!

tanga naijua mwanza mwisho..!

kuanzia MAKORORA, MAKANGARA KUANZIA KWA MCHAWI MKUU MAJI MAREFU.. WOOTE HAO NAWAPATA!!

HAO WACHAWI WENU WOOTE NILISHAWAACHIA ALAMA ZA ALAMA ZA MAPANGA VISOGONI!

iam unrogable!!
 
Excel ukitaka yaishe kabisa uje kwangu leo saa 4 ucku kuna panya untolee ndan kwangu ndo yataisha la sivyo nakugeuza ndocha.

we una kwako au unaishi vichakani? au stendi kuu ya ubungo!? hahaaaa!!

kama unataka uhamisho wa muda, useme tukupe maturubai ya UNHCR ujihifadhi!

unaujua ule wimbo wa magube gube? dedication yako!!

nampenda sana waif Angelicious! afu nataka Window7 awe mkata majani wetu.. Jipu awe mlisha mbwa na kuku!

mtatosha tu!!
 
Last edited by a moderator:
we una kwako au unaishi vichakani? au stendi kuu ya ubungo!? hahaaaa!!

kama unataka uhamisho wa muda, useme tukupe maturubai ya UNHCR ujihifadhi!

unaujua ule wimbo wa magube gube? dedication yako!!

nampenda sana waif Angelicious! afu nataka Window7 awe mkata majani wetu.. Jipu awe mlisha mbwa na kuku!

mtatosha tu!!


Mwaaaaa!!!! Love you babito wangu
 
Last edited by a moderator:
tanga? aah wapi!

tanga naijua mwanza mwisho..!

kuanzia MAKORORA, MAKANGARA KUANZIA KWA MCHAWI MKUU MAJI MAREFU.. WOOTE HAO NAWAPATA!!

HAO WACHAWI WENU WOOTE NILISHAWAACHIA ALAMA ZA ALAMA ZA MAPANGA VISOGONI!

iam unrogable!!

ha!ha!ha!haaa uuwi eti unrogabe jaman dah!
 
we una kwako au unaishi
vichakani? au stendi kuu ya ubungo!? hahaaaa!!

kama unataka uhamisho wa muda, useme tukupe maturubai ya UNHCR
ujihifadhi!

unaujua ule wimbo wa magube gube? dedication yako!!

nampenda sana waif Angelicious! afu nataka
Window7 awe mkata majani wetu..
Jipu awe mlisha mbwa na kuku!

mtatosha tu!!

ha!ha!ha!haaaaa! baada ya kukupa nyumba ye2 isiyoisha ulinde umeanza nyodo si ndio bebi Window7 naomba uje tumpore huyu asohaya.
 
Last edited by a moderator:
ha!ha!ha!haaa uuwi eti unrogabe jaman dah!

kawaulize wenzio!!

walipanga ratiba kwenda kuniroga tanga wakajikuta wako musoma vijijini!!!

hahahaaa!!! usiwaze kabisa..
 
Mmmhh!!! Binamu nyama
ya hamu tena lolz.... au ndo mana akajitetea nikae na wewe mbali eti
ulitaka kumroga kumbe ana yake. Leo atanitambua hamna unyumba wala
nini

tena asikuumize kichwa wifi angu ah.
 
ha!ha!ha!haaaaa! baada ya kukupa nyumba ye2 isiyoisha ulinde umeanza nyodo si ndio bebi Window7 naomba uje tumpore huyu asohaya.

ona anavyotingishika vidole.. hivi wewe haulagi?

mbona maisha yanakuhangaisha hivyo weweee?? umri ushaenda !! olewa basi utuondolee shida bana!!

nshachoka kukonyezwa.. jicho ka indicator ya trekta!! khaa!!

yani wewe.. Window7 Jipu na hicho kipopo bawa chenu.. mango g.. ngojeni nije!!
 
Last edited by a moderator:
kawaulize wenzio!!

walipanga ratiba kwenda kuniroga tanga wakajikuta wako musoma vijijini!!!

hahahaaa!!! usiwaze kabisa..

ha!ha!haa viita ni vita mura aafu kuna story ntakupiemu best t's true story
 
Mwaaaaa!!!! Love you babito wangu

ahsante bebii!! lazima tuwaajiri hawa vikojozi!!

wana shida sana hawa! kwao pasi ndefu ni kawaida sana.. wanasema eti wana maintain figa!! lini ukaona mwanaume ana maintain figa? huu ni umasikini uliopitiliza! Jipu na Window7 ntawasaidia tu! msijali!

na huyu kikongwe J.lee,.. mtafutie kazi mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:
ha!ha!haa viita ni vita mura aafu kuna story ntakupiemu best t's true story

heee!!! unikome unikome!!

pm ni kwa ajili ya mke wangu Angelicious tu!

kama una shida ya pesa ya kula jioni hii useme tukupe laki kwa ajili ya dinner tu!! sio vinginevyo!!
 
Last edited by a moderator:
heee!!! unikome unikome!!

pm ni kwa ajili ya mke wangu Angelicious tu!

kama una shida ya pesa ya kula jioni hii useme tukupe laki kwa ajili ya dinner tu!! sio vinginevyo!!


Yani ndo nilikuwa nangoja ujibu kuhusu hiyo pm asante kama umetambua pm ni kwa ajili yangu tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom