J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
Shemeji hakujui huyu. Ila
imekuaje ukampa fursa babu Asprin bila kunihakikishia ndoa kwa under
20?
eh!shemeji ukiona manyoya ujue kashaliwa kanishinda mie beibi wako ngoja ntengeneze yangu.
Shemeji hakujui huyu. Ila
imekuaje ukampa fursa babu Asprin bila kunihakikishia ndoa kwa under
20?
Nasimama mbele ya Umma jamii na kadamnasi,
Nahisi kuvuja jasho jembamba na mtiririko wa kamasi.
Siyo siri kwa mtandao huu, Inspector Nimeuawa kikatili
Kwa kumpenda mtoto wa kicolored, babad, mweusi, uso soft usio chunus
Natural color Chotara,mrefu, mng'avung'avu, maji ya kunde kenda hewani sekunde.
Kwao Orbey, Oyersterbay, Masaki, binti huyo mtanashati
Mbwa mkali, geti kali, mambo yao super siyo diesel, usafiri wa kifahari
Chaser mayai, vioo vya button, ndani viyoyoz.
Kila siku akitaka anachange, corando, royce-royce Range, mara mecedes benz.
Wakati msela kajamba nani, maisha temeke mikoroshini
SINA HATA BAISKELI!
ila mkuu mi haka kamanzi sikapendi kama nini!! Kana channel of distribution kubwa sana!!
Middle men wako wengi mno mpaka price imekuwa very high... Mi huwa napenda direct channel tu!!
Competition sometimes id very harmful...!
Nimekachana... Kakiamua kulia, acha kalie tu!
Nimemuona bebi. We niachie huyu kuna kabastola nimekanunua hakajipga hata shot 3 katahusika akiendelea kukuudhi dia wangu.
Njoo pm basi diha tufanye mipango ya ndoa.
eh!shemeji ukiona manyoya ujue kashaliwa kanishinda mie beibi wako ngoja ntengeneze yangu.
Shemeji babu Asprin kakuchanganya kweli. Na kale kazawadi kako nakarudisha kabatini
natumai hii mistari haitamfikia mango g
Shemeji babu Asprin kakuchanganya kweli. Na kale kazawadi kako nakarudisha kabatini
Unaogopa nini tena dia jamani. Mambo mengine ya chumbani hapa watakula chabo.
Jamani diha mbona unataka nikeshe na leo kama jana. Basi sema unataka nini wangu wakumoyo.